RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Tumemwelewa anasema tz upande wa afya hakuna kitu.Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.