Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Watu wengi hawajaelewa hii kitu kabisa mkuu.

Ni kwamba TISS walichukua sample ya kamasi za mbuzi, sample ya ute ute wa papai, alafu wakapeleka maabara DSM.
Zote hizo zikakutwa zina corona.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndivyo unavyoamini ni nini kilichomkimbiza Ikulu zote mbili na kwenda kujichimbia huko aliko?? Pili kuna sababu gani ya kukimbilia kufanya teuzi wakati Wasaidizi wake Wakuu wako Msibani?? Wizara si ina Naibu Waziri?? Mambo mengine siyo ya kuyatetea Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio mpumbavu usiyejua kuwa Chato kuna Ikulu!
 
upotoshaji ni mwingi sana humu, watu hujadilisha hisia zao na kuziita kauli za viongozi
 
Na ukweli sisi ni mazuzu! Jiulize wabunge walivyokuwa wanafanyiwa fumigation na mtambo wa Rostam Aziz wenye Chlorine pale bungeni wakati haiwezi kuua kirusi cha corona na badala yake ni kuua menda na viroboto....
 
Yani hao mabeberu anaowaongelea wenyewe wanahemelewa na corona vifo kila siku ndio waje wahangaike na Tz kweli?hivi CCm mbn mlitukosea sana heshima kutupa huyu mtu?
 
Hapo nani wa kulaumiwa kama siyo serikali ya CCM ,
kushindwa kuimarisha maabara zetu ziwe na vyombo vya kisasa zaidi.
 
Hili la Mkuu wa nchi kupima Mbuzi na mapapai badala ya kupima watu, imetudhalilisha sisi Kama watanzania nimeona kule Kenya wameanza kutucheka na kutudhalilisha wakiandika kuwa kenya twapima binadamu Tanzania wao wapima mbuzi na mapapai, aiseee tumeanza kuchekwa Kama watoto wadogo, wakuuu hiii kitu imeshangaza Sana inamaana Mkuu wa nchi haaamini kuwa corona ipo?

Ninajiuliza kuwa tungekuwa na maaambukizi mengi Kama kenya Au Africa kusini Au zile nchi za ulaya ingekuaje? Ninasikitika Sana na kauli Kama hiii Ya mtu msomi kuhisi kuwa corona ni uongo huku anarudi kusema kuwa corona kweli ipo tuchukue hatua, sasa Mimi sielewi huku unasema kuwa corona kweli ipo huku unasema kuwa mabeberu wanatumika huku hao hao mabeberu unafaham kuwa ndio wenye idadi kubwa ya wagonjwa wa corona had majirani zako wako Juu kwa maaambukizi inamaaana wanakubeberu Halafu kwao wanaongeza Namba kwako wanakushusha?

Vipimo huviamini Wakati ndivyo vinavyopima kwao huko? Hivi ikitokea huyu akawa na maamabukizi Kama nchi zingne si ndio atatembea akiimba kuwa ameletewa corona? Haki ya MUNGU huyu Mkuu amedhalilisha nchi na kila Siku analete mambo ya hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we ni mtu mzima sio mwehu
Wapi asema mananasi?? Acha ujinga bas
Kasema fenesi ule utomvu wake
Mbona mnakuza mambo Sana tena uongo

Sent by IPhone
Utomvu wa Fenesi unafanana na umajimaji (Fluids) wa sehemu gani ya mwili wa binadamu!?
 
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM [emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]

Jr[emoji769]
 
Mtume Muhammad s.a.w anasema:

"If you dont have shyness, if you dont have this quality of bashfulness then you can do whatever you wish"

Kwa sababu hakuna kinakachokuzuia from doing a foolishness/shameless thing.. Hiki ni Qiyama!

Na akasema vilevile:

"(Ukiona) madaraka yameangukia kwa asiye na ujuzi(utaalamu kwa muhusika) subirini Qiyama"
 
kwa maana hiyo wewe kijana kumbe ile siku ulivyokuja kwangu ulikuwa unanichora eeeehh!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais yuko sawa ila wewe ndiye unayepaswa kupima afya yako ya akili
Akili yangu inaumwa kila nikitafakari mnavyodanganywa na huyo tapeli wa Chato...
Kwanza kwa jinsi nilivoona anakohoa kohoa sidhani kama atatoboa...
Labda awahi dawa za Andre Rajoolina....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…