Kama ndivyo unavyoamini ni nini kilichomkimbiza Ikulu zote mbili na kwenda kujichimbia huko aliko?? Pili kuna sababu gani ya kukimbilia kufanya teuzi wakati Wasaidizi wake Wakuu wako Msibani?? Wizara si ina Naibu Waziri?? Mambo mengine siyo ya kuyatetea Mkuu.Watu wengi hawajaelewa hii kitu kabisa mkuu.
Ni kwamba TISS walichukua sample ya kamasi za mbuzi, sample ya ute ute wa papai, alafu wakapeleka maabara DSM.
Zote hizo zikakutwa zina corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais yuko sawa ila wewe ndiye unayepaswa kupima afya yako ya akiliView attachment 1438425
Hivi huyu wanakumbuka kumpa dawa zake kabla hajahutubia??
Kupatwa_Kwa_Taifa
CC paschal Mayalla
Wewe ndio mpumbavu usiyejua kuwa Chato kuna Ikulu!Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.
Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!
Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.
Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
Na ukweli sisi ni mazuzu! Jiulize wabunge walivyokuwa wanafanyiwa fumigation na mtambo wa Rostam Aziz wenye Chlorine pale bungeni wakati haiwezi kuua kirusi cha corona na badala yake ni kuua menda na viroboto....[emoji23][emoji23][emoji23] basi tuna madaktari wa hovyo kupata kutokea duniani yani uletewe sampuli ya utomvu wa papai uambiwe ni majimaji ya binadamu upime usijue wallahi hii nchi inaenda pabaya.. Hivi huyu ndugu yenu anatuona sisi mazuzu sana au??
Sent using Jamii Forums mobile app
Utomvu wa Fenesi unafanana na umajimaji (Fluids) wa sehemu gani ya mwili wa binadamu!?Mkuu we ni mtu mzima sio mwehu
Wapi asema mananasi?? Acha ujinga bas
Kasema fenesi ule utomvu wake
Mbona mnakuza mambo Sana tena uongo
Sent by IPhone
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM [emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Ameyasema hayo leo wakati wa kumuapisha Waziri wa Sheria na katiba kuwa vyombo vya usalama vilipenyeza sampuli kutoka kwenye mananasi, mafenesi, mbuzi, kondoo, nk kwa siri na kuzifanya ni za binadamu. Jambo la kushangaza matokeo ya baadhi ya sampuli hizo au yalionyesha yana maambukizi ya corona.
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM
Mambo ni mengi ngoja niweke clip ya video!
Chanzo ITV....
kwa maana hiyo wewe kijana kumbe ile siku ulivyokuja kwangu ulikuwa unanichora eeeehh!!!!!Ila nyie watu wakatili wa nafsi aiseee...
Kuangalia tuu TBC inahitaji roho ngumu,
Sasa kumwangalia Huyo jamaa TBC inahitaji uwe bandidu na nusu.
Nilienda ugenini, wanaangalia TBC mda wote, Maisha yangu ile jioni yalikua magumu sanaaa, nje kuna mvua, chumbn hakwendeki maana unasubr mwongozo wa wenyeji, kuvaa earphones utaonekana wa ajabu, kuchezea simu mda wote nako hakuleti picha nzuri,
Nilitamani nianze kumchezea paka, bahat nzuri mtoto akaja akawa ananiongelesha.
Mzee mwenye nyumb anashangilia kila kitu, half anakuongelesha u comment...
Nilijitahd kuonesha unafk wa hali ya juu ile siku huku unajichekesha la sivyo naharibu hata kilichonipeleka.
Ila asikwambie mtu unafk wa nafsi yako unachoma moyoo aisee, naondoka huku najishangaa, hv kweli n mm wa kumshangilia yule jamaa...
Nilitamani nikatubu.
Na huwezi ukanishangaa,
Maana haya sasa wewe umesikiliza, ulichoambulia ndio hicho, umefurahia?
Akili yangu inaumwa kila nikitafakari mnavyodanganywa na huyo tapeli wa Chato...Rais yuko sawa ila wewe ndiye unayepaswa kupima afya yako ya akili
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM [emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Jr[emoji769]