Rais Magufuli: Maalim Seif ni Kiongozi kweli, aliacha 'interest' zake na kutanguliza za Wazanzibari

Rais Magufuli: Maalim Seif ni Kiongozi kweli, aliacha 'interest' zake na kutanguliza za Wazanzibari

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad ametua leo wilaya ya Chato ambapo amekutana na mwenyeji wake ambaye ni Rais wa JMT, Dkt. John Pombe Magufuli. Maalim Seif yupo ziarani wilaya hiyo akiwa na Rais Mwinyi ambapo pia watatembelea soko la dagaa.

Rais Magufuli amempongeza Maalim Seif kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

1.jpg
2.jpg
3.jpg
 
Cheo cha uRaisi wa TZ ni chuma haswa. Shikamoo GOT. Heshima kama zote.
 
magufuli chapa kazi, tena sasa hivi inatakiwa mtu akileta fyoko fyoko, anazuiwa chemba kwanza kumchunguza nia yake kwenye hii nchi yetu, kurudisha nidhamu za watu wliokosa adabu kama zitto kabwe, lissu n.k yani mwendo ubadilike mpera mpera kama wa Xi Jinping na Jack Ma, ama Vladmir Putin...somo usiamini wanasiasa
 
Lisu akiona hii picha anatamani kujirusha ghorofani ubelgiji

View attachment 1677427
Nimecheka kwa nguvu balaa, yaani Tundu Lisu ajirushe ghorofani kwa Maalim Seif kukutana na Magufuli? Huyo Lisu sidhani hata kama anatamani kukutana na Magufuli, wako wanaotamani na kutetemekea kukutana na Magufuli, ila Lisu sio mmojawao.
 
Sasa TAL anahusika nini na mambo ya Chato ?!

Odhis *
Tundu Lisu huwa anaongelea sana Chato Sasa aliyemuunga mkono Maalim SEIF huyo katua Chato kwa tabasamu kali

Mcheki hapo akikagua mradi wa daraja la Busisi na kupokea taarifa ya ujenzi


 
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....
 
Tundu Lisu huwa anaongelea sana Chato Sasa aliyemuunga mkono Maalim SEIF huyo katua Chato kwa tabasamu kali....
Yeyote anaeunga haya mambo ya Chato ni wa kupuuzwa.

Wilaya yako imepewa miradi mingapi compare to Chato ?! Au kwingine huko waTz hawaishi . Wilaya yangu mimi haina miradi

Odhis *
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....
Ama kweli uongozi mtamu sana kesha sahau yote na shurba zote ya siku tisini zilizopita
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....
Msiniletee shikamooo.
 
Back
Top Bottom