Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Tundu Lisu huwa anaongelea sana Chato Sasa aliyemuunga mkono Maalim SEIF huyo katua Chato kwa tabasamu kali
Mcheki hapo akikagua mradi wa daraja la Busisi na kupokea taarifa ya ujenzi
Wanamchora kwa kutakatisha umwagaji wa damu za Wazanzibar.