Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu tunamwita lipepa maiKulundeng
Odhis *
Pale Shahidi Mkuu wa ICC anapoamua kukaa kikao cha kunywa damu ...Si Maalim alisema kesi ipo ICC. Alishaifuta huko, au ndio sehemu ya maongezi ya ziara hii?
Nami nakazia hapo MABWEGE TU.Nchi hii imejaa mabwege tuuu! Watu wameuawa, yatima, wajane, wamejazana; watu wako mahabusu kwa kesi za uongo; halafu mtu mzima na akili yake nzima anakuja kuongelea eti, oh!, Magufuri, sijui ujinga gani; NONSENSE kabisa!
Hawamjui Lisu hawa.Nimecheka kwa nguvu balaa, yaani Tundu Lisu ajirushe ghorofani kwa Maalim Seif kukutana na Magufuli? Huyo Lisu sidhani hata kama anatamani kukutana na Magufuli, wako wanaotamani na kutetemekea kukutana na Magufuli, ila Lisu sio mmojawao.
Wewe unataka rais Magufuli asafiri kwenda kukaa na Tundu meza moja kule ubelgiji??Bora Mwinyi anaweza kukaa meza moja na wapinzani wake. Je, yeye anaweza?
Odhis *
Hao wageni wote wanafikia kwenye hoteli zake alozojenga wakati akijenga barabara. Yupo kibiashara zaidiNaona kama Chato iko so marketed.
Huyo wa Belgium ana zawadi za vyesi na risasi 38/16 .Wewe unataka rais Magufuli asafiri kwenda kukaa na Tundu meza moja kule ubelgiji??
Waliosema IQ ya watanzania ni one of the lowest wana akili sana, ninawavulia kofia.Sitashangaa Tundu Lisu akifanya ziara ya ghafla mjini Chato!
Maalim anadhihakiwa au ndiyo ukweli. Anyway, anaesema hivyo yeye binafsi amefanya nini kuhakikisha kuwa Wapinzani wanapunguza kinyongo juu yake...!!Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa.
Akizungumza kutokea Chato Mkoani Geita, Rais Magufuli amesema, katika Umoja wao (Dkt. Mwinyi na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Rais) mwanga wa Maendeleo ya Zanzibar umeanza kuonekana, akisisitiza pia ni Maendeleo ya Tanzania
Amewataka waendelee kufanya kazi akiwahakikishia ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisema hatowaacha kamwe kwasababu wote wanahubiri Amani.
Rais Mwinyi na Maalim Seif wamewasili Wilayani Chato leo kwa ziara ya siku mbili.
Swali muhimu kwa mada hiiBora Mwinyi anaweza kukaa meza moja na wapinzani wake. Je, yeye anaweza?
Odhis *
hiyo TAL niSasa TAL anahusika nini na mambo ya Chato ?!
Odhis *
www.porojo.comBaada ya kumuweka under house arrest mpaka alipokubali kujiunga na serikali ya Umoja.
Kuna ndugu yako amekufa paleAmani wakati kuna makaburi mabichi yatokanayo na uchaguzi
Lisu aliambiwa apewe ka cheo atulie akakimbilia BrusselsMagufuli "be like" Maalim Seif wewe sina tatizo na wewe, Tundu Lissu sina tatizo kabisa na wewe, chagua tu nipo tayari kukupa CHEO chochote.
Tatizo langu na ninyi ni moja, "Kwanini mnapita pita mitaani mnawaamsha waliolala usingizi wa pono. Hapo ndio tunakosana.
Njooni tule nchi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Achaneni na hayo majinga yasiyojielewa.
Kuweni "Wazarendo" [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Bora Mwinyi anaweza kukaa meza moja na wapinzani wake. Je, yeye anaweza?
Odhis *