Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Nimecheka kwa nguvu balaa, yaani Tundu Lisu ajirushe ghorofani kwa Maalim Seif kukutana na Magufuli? Huyo Lisu sidhani hata kama anatamani kukutana na Magufuli, wako wanaotamani na kutetemekea kukutana na Magufuli, ila Lisu sio mmojawao.
Kuuumbe! sasa naelewa! Magufuli siyo tu dikteta bali gaidi kama akina alshabaab/alkaida and the like! Magu I hate u to death! you killed my brothers I am sure my God will just pay for me!Baada ya kumuweka under house arrest mpaka alipokubali kujiunga na serikali ya Umoja.
Tundu Lisu huwa anaongelea sana Chato Sasa aliyemuunga mkono Maalim SEIF huyo katua Chato kwa tabasamu kaliSasa TAL anahusika nini na mambo ya Chato ?!
Odhis *
Ulikwepo?Baada ya kumuweka under house arrest mpaka alipokubali kujiunga na serikali ya Umoja.
Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....
Yeyote anaeunga haya mambo ya Chato ni wa kupuuzwa.Tundu Lisu huwa anaongelea sana Chato Sasa aliyemuunga mkono Maalim SEIF huyo katua Chato kwa tabasamu kali....
WILAYA IPI ITAJEYeyote anaeunga haya mambo ya Chato ni wa kupuuzwa.
Wilaya yako imepewa miradi mingapi compare to Chato ?! Au kwingine huko waTz hawaishi . Wilaya yangu mimi haina miradi
Odhis *
Kayafukue, bado mabichiAmani wakati kuna makaburi mabichi yatokanayo na uchaguzi
Ama kweli uongozi mtamu sana kesha sahau yote na shurba zote ya siku tisini zilizopitaRais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....
Kicheko toka sakafuni mwa nafsi yake.
Sitashangaa Tundu Lisu akifanya ziara ya ghafla mjini Chato!Baada ya kumuweka under house arrest mpaka alipokubali kujiunga na serikali ya Umoja.
Wala hakuibaaa.!Baada ya kuiba kura siyo?
I salute youAmani wakati kuna makaburi mabichi yatokanayo na uchaguzi
Mkuu fursa hiyo inafaa tufungue kamladi ketu kule, maana sio poa.Naona kama Chato iko so marketed.
Kumbe Kula Nchi ni Uzalendo?Magufuli "be like" Maalim Seif wewe sina tatizo na wewe, Tundu Lissu sina tatizo kabisa na wewe, chagua tu nipo tayari kukupa CHEO chochote...
Msiniletee shikamooo.Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuwa miongoni mwa walio katika Serikali inayoongozwa na Rais Hussein Mwinyi, akisema uzoefu wake kama Kiongozi ni mkubwa na unahitajika kwenye Uongozi wa sasa....