Rais Magufuli: Makongoro na Madaraka Nyerere mnaishi Butiama lakini wajumbe wamewapa kura 5 na 2, Tungewasaidiaje?

Rais Magufuli: Makongoro na Madaraka Nyerere mnaishi Butiama lakini wajumbe wamewapa kura 5 na 2, Tungewasaidiaje?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.

Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Katambi alipata kura ngapi, Silinde alipata kura ngapi. ptuuiuiuu

Jiwe hajui kinachotoka mdomoni mwake; hana hoja anajilopokea tu!!! Gekue alikuwa wa ngapi na mkamteua?
Inavyoelekea huko ccm busara za Mzee Mangulla zimewekwa kando toka apone kufa kwa sumu ndio maana mambo yanaenda hovyo hovyo tu!!! Mmewaachia hao wahutu wawili wamekivuruga chama.
 
Kama Patambi wa Shinyanga[emoji30][emoji30][emoji30] hii ndio Prof .Chachage aliita collective imbelization ...kupumbaishwa kwa Umma!
Hivi mnamtete JPM hata penye Pumba!
Hawa jamaa mishipa ya aibu ilishakatwa.
Hawaoni aibu kutetea upumbavu!!!
 
Back
Top Bottom