Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Mimi naona kama watoto wa mwalimu wamepuuzwa hivi!!!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwetu Butiama na nimekulia huko na hata shule nimesoma huko.Acha uongo, mm si timu JPM lakini Madaraka yupo Butiama siku zote ama nyingi. Ndiye msimamizi wa mji pale.
Makongoro ndie anatembea tembea..
Wale waliokuwa washindi wa nne wengine kura sita ilitokea muujiza au[emoji848]Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.
Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?
Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Kura 12 Aliyeongoza alipata 234Katambi alipata kura ngapi?
Anapitisha wabunge watakaopitisha kirahisi hoja zake za kutunga sheria mpya.Mbona mwana Fa alipata kura 12 Tu na kepewa?
Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.
Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?
Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Katambi na Silinde walipata ngapi..kuna watu wanafiki..
Kama alivyomsaidia makaraiMtu kama Pascal Mayalla angesaidiwaje kwa mfano!
AMEWARUSHIA DONGO TU HAO. MBONA KUNA WENGINE WALIPITISHWA AKAWAKATAA NA KUMWEKA ANAYEMTAKA? HAPA INAONEKANA RAIS HANA NIA YA HAWA WATOTO WA NYERERE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI SERIKALINI.Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.
Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?
Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi ni wa ukoo wa Burito.Mkuu kwetu Butiama na nimekulia huko na hata shule nimesoma huko.
Acha ligi ya kipuuzi.
Unaweza kuwa wa ukoo wa burito ila hakuna unachojuaMimi ni wa ukoo wa Burito.
Nyamaza.