Rais Magufuli: Makongoro na Madaraka Nyerere mnaishi Butiama lakini wajumbe wamewapa kura 5 na 2, Tungewasaidiaje?

Rais Magufuli: Makongoro na Madaraka Nyerere mnaishi Butiama lakini wajumbe wamewapa kura 5 na 2, Tungewasaidiaje?

Acha uongo, mm si timu JPM lakini Madaraka yupo Butiama siku zote ama nyingi. Ndiye msimamizi wa mji pale.

Makongoro ndie anatembea tembea..
Mkuu kwetu Butiama na nimekulia huko na hata shule nimesoma huko.

Acha ligi ya kipuuzi.
 
Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.

Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
Wale waliokuwa washindi wa nne wengine kura sita ilitokea muujiza au[emoji848]
 
Kwani hao ambao hawakushinda kama Gwajiboy na yule wa Shinyanga kawasaidiaje na Kuwaitis has kama wagombea? 😳

MNAFIKI haachi asili.

Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.

Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Magufuli "sio mnafiki" wakuu, alishasema mambo mengine inategemea siku hiyo kaamka vipi. Ni ukweli pia ana watu wake. Kumbukeni pia kule kwenye lichama lao (sijui wako milioni ngapi) kuna sauti moja tu hivyo hakuna wakumkumbusha kuwa mbona huyu khabari yake ni sawa na yule.
 
Rais Magufuli amewapongeza watoto wa baba wa taifa Makongoro na Madaraka kwa kuelewa demokrasia na kutolalamika baada ya uteuzi wa wagombea ubunge kufanywa.

Dkt. Magufuli amesema Makongoro na Madaraka hawaishi Mtwara wala Dsm bali wapo hapo hapo Butiama lakini wajumbe waliwapa kura 5 na 2, sasa Kamati Kuu ingewasaidiaje?

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba wa taifa hawajalalamika, nawapongeza sana amesema Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
AMEWARUSHIA DONGO TU HAO. MBONA KUNA WENGINE WALIPITISHWA AKAWAKATAA NA KUMWEKA ANAYEMTAKA? HAPA INAONEKANA RAIS HANA NIA YA HAWA WATOTO WA NYERERE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI SERIKALINI.
 
Back
Top Bottom