Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Alisema mtu mwenye mshahara wa juu kabisa pale TRA ni 15 milioniKazi ipo
Hivi pale TRA napo vipi
Kazi ipo...Alisema mtu mwenye mshahara wa juu kabisa pale TRA ni 15 milioni
Hayo ni maigizo ya Uongozi ambao umeshakaukiwa mawazo mapya ya maendeleo ya KWELI.Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Rais hata asipolipwa mshahara pesa atakuwa nayo tu kwani ana uwezo wa kumpigia Gavana wa BOT hata saa nane usiku akamwambia niletee dola milion 3 au zaidi anamtelea mda huo huo vyanzo vyama kupata pesa kwake ni vingi mnoNaweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Uzalendo hapa unaingiaje kwa mfano?Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Lini Bunge limepitisha sheria ya kupunguza mshahara na marupurupu ya Rais maana mshahara wake upo KatibaNaweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Huyu mzalendo ni mtamu aisee.Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Milioni 9 za nini wakati kila hiduma anapatiwa bure? Na hata akistaafu anapewa huduma., karibu milioni 100 na kitu kwa mwaka nchi maskini kama TanzaniaNaweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.
Mil 9 ni nyingi sababu huo mishahara hauguswi ninavyofahamu pale ikulu kuna bajeti hivyo huo mishahara upo tu bado kuna maposho lukuki pale.Mleta post,
Mwambie akuongezee mshahara.
Na pia uzingatie changamoto anazopitia huyo mtu, usiangalie tu benefits. Kwa jinsi Rais wetu anavyotupambania ilitakiwa alipwe zaidi ya mara kumi ya mshahara wake wa sasa.Mishahara iakisi kazi anazofanya mtu na pia izingatiwe kwamba kuna benefits nyingine kwenye maoffice zinazozidi mshahara wa mwezi
TRUMP yeye alisama hataki msahahara kabisa lakini madudu ambayo anayafanya ya kmuingizia kipato ni kufuru hata kwa munguNaweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana,sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.
Anko Magu analipwa mil.9 tuu.kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12.
Leo kwenye hafla ya kumwapisha Naibu waziri wa Madini Mh Rais alijikuta akitaja kiasi anacholipwa wakati akiongelea suala la mishahara ya watumishi waliokuwa TMA badae kubadilishiwa sekta watumishi hao ambao rais alidai waliboronga huko TMA wanapaswa wasilipwe mil 10 tena mishahara yao ipunguzwe na kuongeza kuwa asiyetaka aache kazi.Maana kuna wengine wanalipwa mishahara ya ajabu sana.
Kwa mshahara huo wa Magu watumishi wengi mno wenye mshahara kumzidi,nashawishika kusema kuwa Rais magu ana mabaya yake lakini ni Rais bora sana kwenye mambo mengi.