Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana, sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.

Anko Magu analipwa mil. 9 tuu. Kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12...
Ndio maana aliiba ile rambirambi. Ajiongezee tu mshahara
 
Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana, sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.

Anko Magu analipwa mil. 9 tuu. Kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12...
Na pale hazina kupitia kwa mpwa wake je?
 
Anao tulpa Tsh lak 2 had 4 kwa mwez Bila posh yoyote atukumbuke
 
Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana, sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.

Anko Magu analipwa mil. 9 tuu. Kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12...
Muongo
 
Naweza kusema huyu Anko ni mzalendo sana, sijui kama kuna Rais mwingine Afrika anayelipwa hela kama hii.

Anko Magu analipwa mil. 9 tuu. Kiasi ambacho ni kidogo kuliko hata mshahara wa wabunge ambao wao hulipwa mil 12....
Babu jinga inama ufikiri.
 
Nasikia wabunge ni million 12. Sasa kwanini unganganie kuwa Rais wakati mshahara ni mdogo kuliko wa wabunge?
 
Kwani kuna anayetegemea awe perfect? Uhalisia ni kwamba anakosea na yapo anayopatia. Nimeeleza hapa kuwa nyie mnachokifanya ni chuki pengine hamjajitambua kuwa mnachuki,siku zote huwezi kumsifia au kumueleza kwa uzuri tu yule unayemchukia.

Wengi mkiona humu katajwa Magufuli hata kama anazungumziwa kwa jambo la kawaida tu basi lazima mje mchafuwe hali ya hewa yani hamtaki kuona Magufuli akizungumziwa tofauti na kuelezwa kwa mabaya halafu wenyewe mnaita ni kukosoa ila kiuhalisia mnachokifanya ni zaidi ya kukosoa ni suala la kibinafsi.

Jaribuni kujichunguza,mmefika hali kuwa hamtaki hata kuona huyo Magufuli akifanya jambo zuri maana mnaona atasifiwa na nyie hicho kitu hamtaki yani mnatamani aendelee kufanya mabaya ili watu wengi zaidi wamchukie.

Jichunguzeni wenyewe,ndio maana ni zaidi ya kukosoa.
 
Habari wakuu

Nimekaa hapa nikaona kuuliza sio undezi wacha nijue, mshahara wa huyu raisi wetu wa wanyonge.

Hivi Ni kweli kabisa raisi mshahara wake ni million 9 ?,au ni namna flani tu ili tujione sote tunamaisha magumu mtaani.

Kwa iyo anazidiwa mshahara na wabunge?hata tra kuna watu wanachukua millon 15 kwa mwez, sasa hao wote wanaweza kuwa wanamzidi raisi kweli?

Hapa nimefikilia kwa akili ya kawaida, naona inakataa, akili inasema "acha kulemaza akili raisi hawez chukua pesa ndogo namna hio ,"

Hapa nawaza hivi akili yangu iko sawa au nayenyewe ina walakini.

Uzi tayari
 
kumbe anajua ku-save aisee, yaani na zile alikuwa anagawa gawa kwa watu kwenye kampeni ni savings zake kwa miaka 5 tu - hongera sana.
 
KATIKA MSHAHARA WAKE HUYO, ANANINUA NINI CHA KUTUMIA. nguo, chakula, kodi ya nyumba, usafiri AMS ?. Shangaa malupulupu in zaidi ya mshahara
 
Hii ya kusema analipwa mshahara shilingi milioni tisa sidhani kama ni kweli, hapa tunalishwa tu matango pori.

Kikwete alitoka akilipwa milioni 34 na marais wastaafu wakilipwa asilimia 80 ya hiyo kwa mwezi.

Sasa haiwezekani eti leo hii hao marais wastaafu wawe wameshushwa eti nao wawe wanalipwa milioni 7.2 ambayo ndio asilimia 80 ya hiyo milioni tisa ambayo rais Magufuli anadai kulipwa kwa mwezi.

Tatizo sisi waafrika mtu akishabahatika kuwa rais yeye anajua watu wote anaowatawala ni wajinga tu ila yeye tu ndiye mwenye akili. This is very foolish.
 
Anatuchora kamonopolyze kapu la hadhina anafanya matumizi bili idhini ya bunge iwe leo tuudiacus mshahara wake eti mil 9 huku anatembea na briefcase zenye maburungutu ya hela.
 
Pengine mshahara wake ni huo pamoja na wastaafu.
Sema hapo kuna malupulupu mengi.
Harafu hao wastaafu wote kwa sasa wanakazi ni maprincipal mmoja UDSM mwingine Mzumbe
 
Heee nasikia baada ya vyuma kubana ameanza kujipunguzia toka 9.5m hadi 9.0m

Huku tujiandae wale jamaa wa TMAA washakutana na maelekezo tayari.
 
Isee sikuwahi kulijua hili. Milioni 9 ni nyingi mno kwa Rais wa wanyonge. Hivi tunajua Anko sasa anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea Afrika!?
 
Hapa tulipigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…