Wewe sijui unahitaji kufunzwa au pengine hata hufundishiki kutokana na uwezo mdogo!
Rais ameongea maneno ya busara na hekima, wewe unakuja kuyatia unajisi.
Maneno ya Rais yamekaa vizuri, lakini tatizo kubwa la Rais Magufuli ni kunena tofauti na kutenda tofauti. Ja pili ni namna ya kuwadhibiti wanaojipendekeza kwaje au Serikali kwa kuharibu taratibu na sheria, hasa jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi linatakiwa kudhibitiwa. Linaweza kutuharibia mchakato wa uchaguzi, linaweza kusababisha vurugu.
Sent using
Jamii Forums mobile app