Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni propoganda za kishamba dereva yuko wapi? Kwanini afichwe?Tuanze kuawasaka kwanza walimpiga Tundu Lissu kwenye majengo ya viongozi dodoma. Pamoja waliamrisha walinzi waondolewe eneo kwa siku hiyo.
View attachment 1538178
Mnatumia wanachama wenu kufanya vurugu ili muisingizie serekali tumewashtukia mapemaTundu Lisu jabali, mwamba, mzalendo atakomesha mauaji wa watanzania wasio na hatia
Dereva alikuwa anamuuguza lissu na wamerudi wote kutoka belgium. Na sasa hivi yupo kwenye msafara kama dereva wake tena..Acheni propoganda za kishamba dereva yuko wapi? Kwanini afichwe?
Furaha ya Watanzania nikua na afya njema nakupata elimu bure ndio maana Raisi wetu mzalendo akaamua kujenga vituo vingi vya afya nakuhakikisha kuna dawa zakutosha hii ndio furaha muhimu kuliko zote ,Acheni kutumika vibayaKutekwa, kulawitiwa, kunyongwa na kuuwawa, kubambikiwa Kodi, kubambikiwa kesi hewa
Sasa, Sasa baaasi
Hayo masgr, tupa kule. sisi Tunataka furaha siyo masima go ya vitu.
Acha hasira ,pigeni kampeni za kistarabu sio kutoa matusi tunataka mtuambie mkipewa nchi mtafany nini sio matusi Jpm kawashika maana mtaongea nini ambacho jpm hajakifanyaDereva alikuwa anamuuguza lissu na wamerudi wote kutoka belgium. Na sasa hivi yupo kwenye msafara kama dereva wake tena..
Leta upuuzi mwingine ujibiwe ewe young chakubanga
Dereva ndiye alimpiga risasi?acheni ujuhaAcheni propoganda za kishamba dereva yuko wapi? Kwanini afichwe?
Naona mmechanganyikiwa, kwanini hatoi ushirikiano na police ?Dereva ndiye alimpiga risasi?acheni ujuha
Thibitishachama kinachotumiwa na mabeberu
Wewe siunawaona hawawezi kuongea bila kuwataja mabeberu mfano kwenye swala la corona walijifungia ndani nakuzimbia nchi za magharibi wasitoe mikop kwa Tanzania, leo hii hao hao waliojifungia wapo kwenye maandamano, tumchague JPM na CCM kwa ujumla acha kutumika vibaya weweThibitisha
UnamjuaAlafu we KWANDU fanya ima uhame kwa Shemeji yako.
Acha kupanua domo lako kubwa.. ewe gwandumi,umeuliza kuhusu dereva nimekujibu mwambie sirro na vijana wake wakamchukue na leo wapo hapa moshi!?Acha hasira ,pigeni kampeni za kistarabu sio kutoa matusi tunataka mtuambie mkipewa nchi mtafany nini sio matusi Jpm kawashika maana mtaongea nini ambacho jpm hajakifanya
Sina elimu yoyote ndungu yangu ila nimeweza kutambua Tanzania Tunahitaji Raisi Atakae ifanya Tanzania ijitegemee kiuchumi na simwingine ni huyu alieamua watoto wakitanzania wasome bure, nihuyu anaejenga miundo mbinu kila kona, nihuyu anaetaka tuwe na umeme wakutosheleza ,nihuyu anaetumia nguvu nyngi kulinda raslimali za WatanzaniaUna elimu gani we pimbi?
Yupi? Huyu dikteta uchwara? Au Juma Ponda Mali?tumchague JPM
Ndio walewale tu namhurumia aliekuzaaYupi? Huyu dikteta uchwara? Au Juma Ponda Mali?
Vip CCTV ziko wapi acha propaganda za kishamba wewe ni mpumbavuAcheni propoganda za kishamba dereva yuko wapi? Kwanini afichwe?
Acha hasira ndio zenu mkibanwa mnanza matusi tulia sindano iingieVip CCTV ziko wapi acha propaganda za kishamba wewe ni mpumbavu