Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

Kitambulisho cha chuo unacho?
 
Halotel kwann hawana kauli nzur mteja ukiishiwa salio hawajui kukwambia vizur
Utaskia tu "huna salio ongeza salio kufanya maswaliano" alaf wanakata Kwanza huyo Dem mwenyewe anaongea kibabe warekebishe hap tu
 
Halotel kwann hawana kauli nzur mteja ukiishiwa salio hawajui kukwambia vizur
Utaskia tu "huna salio ongeza salio kufanya maswaliano" alaf wanakata Kwanza huyo Dem mwenyewe anaongea kibabe warekebishe hap tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544]
 
TTCL Dakika Saba simu inaita tu haipokekewi. Customer service hamna kitu hapoView attachment 1569506

Nimefuatilia comments nyingi kwenye hii thread nilichogundua ni kwamba matatizo yatokanayo na huduma za TTCL ni mengi ila nadhani kuna uwezekano matatizo yote yanasababishwa na kitu kimoja au viwili tuu. Ni muhimu TTCL watambue shida inayopelekea kuzalishwa kwa haya matatizo lukuki ili wayape dawa ya kudumu.
Tunaweza kulalamika hapa tukatoa mapendekezo tele lakini kama hayatagusa mzizi wa matatizo tutalalamika bure miaka yote na kumaliza mabudle yetu na kuchakaza sim zetu bila suluhu

Ila kitu kimoja nimefurahi kuona uzalendo wetu watanzania, bado tunaipenda kampuni yetu, bado tunatamani kupata huduma zake na bado tunaamini wakibadilika wataweza kutoa huduma bora. TTCL waitumie hii nafasi kuwaonyesha watanzania kweli wamewasikia na wanaweza
 
Shukrani sana mama D
 
Waziri Waziri Kindamba,
Azania alumni 1999,
Mtaalam wa IT na kada wa Chama Tawala,

Wacha niishie hapa kwanza

KIPENZI CHA WAMAMA ARUSHA-MBEYA-TANGA-KAGERA-DSM....JAMAA KAJAZA VIMADA WAKE !RUSHWA YA NGONO IPO NJE NJE
 
Kabisa mi mpaka nilihama huo mtandao, imagine ukiwa Kinyerezi tu data inasumbua balaa na nusu, sasa sijui wa kijijini inakuaje.
Nilipiga Simu customer service ilikaa nusu saa bila kupokelewa na si siku moja karibu siku tano hivi sijawahiona ikipokelewa.

Hao wana mpango thabiti kabisa wa kuihujumu TTCL laiti Magufuli angejua.
 
Labda tunatakiwa tutumie BlackBerry kama marais ndo TTCL itafanya kazi kwenye simu zetu. Yani ilizengua na ilivyokuja kasi
 
tulijiondoa awali, tukarudi, still mmeshindwa ku meet our demands, last month kuna siku kama mbili hivi hakukuwa na internet kabisa
Ni kweli, maana siku hiyo TTCL atakuwa anafanya marekebisho kwenye tower zao ili wateja muanze kupata kitu cha 5G.


Kuwa mzalendo.
Rudi Nyumbani Kumenoga.
 
Mods futeni uzi huu
Kwanini unataka moderator aufute huu uzi. Mmeshajirekebisha au mkatatua changamoto za mtandao wenu? Mnaihujumu TTCL wakati ndo ingetakiwa iwe inainyemelea Vodacom na Tigo sasa hata hamueleweki. Kama shirika la mtu binafsi ambalo halina mtaji yani.
 
Kwanini unataka moderator aufute huu uzi. Mmeshajirekebisha au mkatatua changamoto za mtandao wenu? Mnaihujumu TTCL wakati ndo ingetakiwa iwe inainyemelea Vodacom na Tigo sasa hata hamueleweki. Kama shirika la mtu binafsi ambalo halina mtaji yani.
[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…