Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

Kuna siku niliona wametoa gawio kwa serikali kiasi kama bilioni ivi,siku ya pili yake nikaona gari lao lilipaki sehemu sasa wakati linataka kuondoka nikaona watu wanalisukuma ili liwake,kumuuliza dereva tatizo ni nini dereva akajibu betri yake mbovu,nikacheka kweli na kusema jana tu mmetoa bilioni of money leo mnasukuma gari,lakini jamani ndio changamoto izo inabidi wazikabili
 
Mm nnatumia Mtandao wao wa Internet na line ya chuo. Ila network yao haiko vizrui baadhi ya sehemu hapa Dar. Mfano, nikiwa Mjini mida ya kazi, nafaidi vzuri. Nikirudi home bunju au nikiwa Chanika huko kwenye mishemishe zangu. Siambulii chochote.

Sasa kama hapa Dar tu inawashinda kuweka full covarage, vipi huko mikoani?

Ttcl mnatakiwa mjidhatiti. Na muweze kutoa huduma iliyo na viwango hata kama haitafanana na wainzani wenu, ila basi sio kila mtu aweze kuona hizo dosari ndogo ndogo.

Sent using [Iphone XS Max]
 
Hivi Dr. Kamugisha Kazaura walimtoa pale kwa kisa gani?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Uko sahihi ila bado haujasema TTCL wanafeli wapi? Offers, Miundombinu, teknolojia, Bundles, Customer care service? Hebu orodhesha vitu wanavyofeli jamaa toa facts hata uongozi wakisoma wajue kweli wamefeli ukicompare with others kwenye ushindani.

List them all.

Binafsi naona upande wa bundles wako fair mnoo.. bei chee speed ya 4G tena ukiwa na laini ya chuo unaweza hisi unamiliki kampuni nzima😂🙌🏽 hongera sana Boss wa TTCL kwa hili, ila network yao haiko strong baadhi ya maeneo Dar Es Salaam hii hii 🥺. Yaani hilo gawio walilotoa ni bora wangetumia kutengeneza minara strong ya 4G kuliko kututesa wateja wao.
Hapo ktk kuimarisha mtandao umenena, mie nikitoka tu nje ya mji ni majanga dunia nzima
 
Hujui accounts and financing ndio.maana unaona ni ujinga
Kupata faida na kutoa gawio,hakukuzuii kuomba mkopo au capital injection toka kwa shareholder kwa ajili ya investment ya miundombino
Nenda ukasome hata book keeping KIMAwewe acha kukariri mambo ya MATAGA. Utagawaje gawio wakati Net Profit ni Negative?. Kwanza angalia hata asets zenu zilivyo chakavu, magari yenu tu ya kwenye field ni TETANUS tupu eti mnaigawia Serikali fedha||
 
Uko sahihi ila bado haujasema TTCL wanafeli wapi? Offers, Miundombinu, teknolojia, Bundles, Customer care service? Hebu orodhesha vitu wanavyofeli jamaa toa facts hata uongozi wakisoma wajue kweli wamefeli ukicompare with others kwenye ushindani.

List them all.

Binafsi naona upande wa bundles wako fair mnoo.. bei chee speed ya 4G tena ukiwa na laini ya chuo unaweza hisi unamiliki kampuni nzima[emoji23][emoji1430] hongera sana Boss wa TTCL kwa hili, ila network yao haiko strong baadhi ya maeneo Dar Es Salaam hii hii [emoji3064]. Yaani hilo gawio walilotoa ni bora wangetumia kutengeneza minara strong ya 4G kuliko kututesa wateja wao.
Tunashukuru kwa ushauri wako.
 
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate
taasisi nyingi za serikali ndivyo zilivyo yaani wao wanaona wenye shida ni raia na sio wao, wao ujichukulia km special cream flani hivi kwenye jamii..
 
Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina ofa kwa wateja wake utadhani inauza nyanya.
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe anamiliki hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
yaani hapo ndio hamn'goi kabisaaaaaa
 
Kila siku taasisi za serikali zinatumbuliwa lakini bado kuna taasisi hawajifunzi kwa wenzao wanaotumbuliwa mfano wa hizo taasisi na TTCL,bado wanafanya kazi kwa mazoea.
TTCL hata kupata vocha dukani ni inshu kubwa.kusajili laini tu unasumbuka kupata wakala labda mpaka uende dukani kwao.mawakala wa kwenye meza na miamvuli hawana kifaa chao cha kusajilia.
 
Naunga mkono hoja. Haiwezekani hapahapa dsm mtandao usikamate. Naishi tabata kimanga. Mtandao ni wa shida sana. Internet haikamati kabisa. Kama bosi ameshindwa kazi ni vema akae pembeni, awapishe watakaoweza kuleta ufanisi kwa kampuni hiyo ya umma
 
Binafsi nampongeza Sana Kindamba ameleta mageuzi makubwa Sana TTCL,kutoka kuzalisha hasara kwa miaka 18 iliyopita mpaka kutengeneza faida na kutowa gawio kwa serikali.sikatai kwamba ttcl Wana changamoto zao especially za kiubunifu mfano kwenye bando zao bado wamebase kwenye watumiaaji wadogo wa data na voice mfano kwenye data ukiangalia bando zao nyingi mb200 mb500 1gb zikizidi Sana 5gb kwa mwezi ni kweli kwamba Bei zao ziko fair ila wawalenge na watumiaji wakubwa kuanzia gb 5 na kuendelea mpaka gb 100 kwa mwezi.

Kwa Bei nzuri maana kwanza ttcl ndo wanamiliki mkonga wa taifa kwahiyo hata iyo mitandao mingine wanawauzia wao ili waweze kusafirisha data zao huko kuwafikia watumiaji wa mwisho kwahiyo ttcl bando zao zinatakiwa ziwe chini kuliko mitandao mingine ili kuvutia wateja. Kingine ttcl iongeze upatikanaji wa vocha ni kweli unaweza kununua vocha kwenye simu na mitandao mbalimbali lakini Kuna yule mtu wa kijijini kabisa hajui ilo ameshazoea vocha za kukwangua kwahiyo waliangalie na Hilo.

Pia waongeze matangazo, kindamba najua unapenda kusave Ela ili kuongeza faida lakini sio kwenye matangazo jitaidini Sana kuongeza matangazo kila mahali mf, kwenye tv,barabarani,toweni ata Ile miavuli vile vile kwenye tpesa tumieni Ile njia ya Airtel money ya hakati mtu ikisha kubalika zaidi ndo mnaweka charges kidogo.kingine Kuna Huduma nyingi za ubunifu mfano Kuna wale wateja wa uhakika watengenezeeni Huduma ya post paid na prepaid tengeneza package za uhakika za mwezi mkilenga voice na data then mnafanya ka research kadogo then mnatengeneza hiyo.mkizingatia ivyo hamna mitandao utakao wazuia The Black Godfather,

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge moja la ushauri.
 
Mimi ni mteja wa TTCL kwa miaka mingi, ninatumia simu ya mezani, natumia MI-FI na mobile
kuangalia salio kwa mobile iko standard kwa wote piga *102# kuona salio lako au kwa upande wa vifurushi piga *148*30# select number 9
Sidhani kama wewe ni mteja, bali ni sehemu ya menejementi ya TTCL maana unatetea sana humu
 
Tangu magufuli aje na utaratibu wa 1×3 yaani
Teua Mwigulu Mchemba
Tengua Mwiguli Mchemba
Teua Mwigulu Mchemba

Hakujawahi kuongezeka ufanisi wowote ule kwenye utendaji wa serikali yake.
 
Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina ofa kwa wateja wake utadhani inauza nyanya.
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe anamiliki hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
Serikali ni msimamizi wa sheria za sector nzima ya mawasiliano Tanzania

Hivyo anasimamia rules of the game,kila mfanyabishara hii awe protected na kuwajibishwa kwa usawa

Cha ajabu serikali hiyo hiyo tuliyoipa madakara makubwa namna hii kusimamia rules of the game eti yeye nae anafanya biashara hiyo hiyo...

Unategemea haki among all the wafanyabiashara kwenye hii sekta?

Kindamba ni nonsense,tangu lini serikali ikajua kufanyaa biashara ya aina yoyote?

Kwanza biashara yeyote inayohusiana na serikali tu,wananchi hawapendi huduma zake to begin with!

Serikali iache kufanya biashara isimamie sekta hizi kuhakikisha rules of the game are equally adhered by all participants,otherwise tunavuruga uchumi mzima

Serikali ni dude la hovyo mno..

Na majitu yaliyomo humo tumeyapa nguvu ya kufanya maamuzi ya hovyo bila wao kupata consequences zozote wakati sisi ndio wabeba consequences 100%!
 
Back
Top Bottom