Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Sio mombasa Wala turkana,Ila Ni maeneo ya baridi,sisi sio salama Sana sema takwimu zinafichwa
Ameishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayo
Unaona Kenya wanavyoteseka kwani wao si nchi ya tropical?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Kwenye kampeni mgombea wa ccm watu wanafuata singeli.
Mziki ukizimwa akianza kuonge ,watu wanandoka.


Mm naona sasa ni wakati.ccm ibadilishe jina wakalabati rangi yao,wabadirishe na nembo.
Angalau ionekane mpya kidogo.

Wafanye kama walivyofanya nyerere enzi ya TANU.
Ingependeza kitumie jina hili jioya Chama cha Wasanii (CHAWA)


TANU/ASP [emoji1732] CCM [emoji1732] CHAWA [emoji188][emoji188]
 
Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba

Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.

Toa huu ujinga let them phase out nchi ina vijana hakuna ujinga tena, mbele kwa mbele nyuma pancha, mnaona Donge. Hakuna maisha ya ubwete, ubepari ndio huo unakomaa na kukimbia kwa kasi.
 
Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Kwani hawo waliotoka na kuachia nchi walitakakutoka kwa hiari yao?

Mfano albashie,James, na wengine.

Kiufupi hata ccm haitawachia nchi kwa uchaguzi huru lakni mtawachia bila ya mategemeo mliotegemea.

Wewe ukipanga Mungu hupangua.
 
Toa huu ujinga let them phase out nchi ina vijana hakuna ujinga tena, mbele kwa mbele nyuma pancha, mnaona Donge. Hakuna maisha ya ubwete, ubepari ndio huo unakomaa na kukimbia kwa kasi.
Vijana huwahitaji wazee wenye hazina ya uzoefu na maarifa.
 
Mara paap kuelekea ukingoni mkwere anasapoti ukweni.
 
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
kp30042015.jpg


Ukiielewa hii picha utapata majibu ya kwanini wazo lako halifai wakati huu
 
Back
Top Bottom