HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Mmmh umeishiwa la kuongea ndugu Bora ungenyamazakumbuka kwenye maisha kuna zali pia ila sio yule zari wa diamond hapana
Kuwa mpinzani haimaanishi chuki
Penye sifa toa sifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh umeishiwa la kuongea ndugu Bora ungenyamazakumbuka kwenye maisha kuna zali pia ila sio yule zari wa diamond hapana
Ameishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayo
Unaona Kenya wanavyoteseka kwani wao si nchi ya tropical?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Haaahaaa jk usikubali make mpka sasa tuna kulaum
Sasa kama hilo mnalifaham nilakweli, kwa nini mumekubali kufanya kampeni nawakati mnafaham hivyooo?alishasema haiwezekani nikuteue mimi alafu faida apate mwingne haiwezekni hilo
Ingependeza kitumie jina hili jioya Chama cha Wasanii (CHAWA)Kwenye kampeni mgombea wa ccm watu wanafuata singeli.
Mziki ukizimwa akianza kuonge ,watu wanandoka.
Mm naona sasa ni wakati.ccm ibadilishe jina wakalabati rangi yao,wabadirishe na nembo.
Angalau ionekane mpya kidogo.
Wafanye kama walivyofanya nyerere enzi ya TANU.
Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba
Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
Kwani hawo waliotoka na kuachia nchi walitakakutoka kwa hiari yao?Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Vijana huwahitaji wazee wenye hazina ya uzoefu na maarifa.Toa huu ujinga let them phase out nchi ina vijana hakuna ujinga tena, mbele kwa mbele nyuma pancha, mnaona Donge. Hakuna maisha ya ubwete, ubepari ndio huo unakomaa na kukimbia kwa kasi.
Hawa wazee sii tim Membe ama macho yangu mabovu?Narejea kukumbusha waliomshauri m.kiti vibaya wajipange.
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
Na akashinda kwa asilimia ambazo magufuli hatakuja kuzipata ingawa ndyo nia yake.
Mpaka sasa unaamini wazo langu halifai?