Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mnapenda kukaririKuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba
Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
Ulitaka aseme Nini Kama sio mafanikioNimemsikia Mwenyekiti akiwa Singida na akiwa Shinyanga anayo yaongea hayana tofauti na hotuba yake ya kuvunja bunge......"vijiji elfu mbili vilivyobaki havia nishinda"....wanaomshauri inabidi wamweleze ukweli......kampeni ni zaidi yakusema mafanikio
Amelaaniwa mtu Yule amtegemeaye mwanadamuAmuache mjuaji apambane na hali yake kibebeo mkapa hayupo tena
Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.
Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.
Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
alitoboa lowassa kipindi kile sembuse magufuli mwenye kucheza singeli[emoji38][emoji38][emoji38].Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa kutokupenda Uchaguzi, anateseka jamani!
waluga luga wanashangaa magari.Anawapelekea Wanyamwezi waliopinda stori za Ndege na Daraja la Mfugale wanamcheekii akiondoka wanarudi kwenye vijiwe vyao vya kahawa huku wakimsubiri Lissu walugaluga hawataniii wanamnyoa Mhutu alfajiri na mapema
Awamu ya nne waliishaambiwa nchi ilikuwa shamba la bibi (musib)Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.
Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.
Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Kwani hujasikia waliokuwa Wazima wazima wa afya tele wakifa kabla ya Lowassa? Yule Mzee wa Lupaso aliyetuita malofa yuko Wapi, Samweli 6 yuko wapi? Kwa hiyo usipime afya ya mgombea wenu kwa kutazama afya ya Mtu mwingine...kwani Kwanza yeye mwenyewe si alikusudia Lissu afe? Sasa si anatokwa jasho?alitoboa lowassa kipindi kile sembuse magufuli mwenye kucheza singeli[emoji38][emoji38][emoji38].
mnatafuta tone la maji kupooza makoo yenu lakini waaapi.
magu rais 05 tena.
Kijiweni kwetu kila mtu anasema jiwe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumiVijiwe gani ambavyo wanamzungumzia Lisu?
Wote mbona wanakwambia uchaguzi ulishaishaaa?
Endeleeeni na kiiki zenu tuuuu.
ndio maana nakushanga wewe unayejaji mtu kwa sura yake iliyochoka na utu uzima.Kwani hujasikia waliokuwa Wazima wazima wa afya tele wakifa kabla ya Lowassa? Yule Mzee wa Lupaso aliyetuita malofa yuko Wapi, Samweli 6 yuko wapi? Kwa hiyo usipime afya ya mgombea wenu kwa kutazama afya ya Mtu mwingine...kwani Kwanza yeye mwenyewe si alikusudia Lissu afe? Sasa si anatokwa jasho?
Jiwe akishinda nahama nchiBila hata kupiga kampeni Magufuli ameshashinda. Hapo anatimiza takwa la kikatiba tuu
Nimesoma nikajiuliza ni mtanzania gani chizi hivi, kurudi juu na kuta ni wewe ikabidi nikusamehe bureMagufuri hana haja ya kufanya kampeni na kuanza kutoa ahadi mpya
Anachokisimamia yeye hivi sasa miradi yake aliyoianzisha ifikie ukomo
Kazi kubwa hivi sasa ni ya wapinzani kuibua hoja mpya
Hoja za zamani za wapinzani
Tume huru ya uchaguzi
Katiba mpya
Nchi aina ndege hata 1 ni aibu hii
Elimu bure kuanzia awali mbaka seco
Vifaa tiba hospital zetu hakuna
Madawa hospital zetu hakuna
Madini yanaibiwa na mabeberu
Ndani ya ccm kuna mapapa wa ufisadi
Miradi ya umeme tunapigwa
Mikataba feki
Mali asili za taifa ikiwemo twiga wanapindwa kwenye ndege
Rushwa serikalini
Nidhamu mbovu ya watumishi serikalini
Baada ya miaka mitano ya magufuri
Leo wapinzani wamepindua meza
Wamekuja na hoja mpya
Kazi ya magufuri na ccm yake ni kuzisikiliza hoja za wapinzani na kisha kuzifanyia kazi ili 2021 2022 mbaka 2025
Mtakuwa tayari mmeshamalizana nazo
Ifikapo 2025 wapinzani waje tena na hoja zingine hapo ndio tutakuwa tunajenga taifa la tanzania..
Anza kufunga mizigo maana lazima ashindeJiwe akishinda nahama nchi
Ndoto za abunuasi