Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
- Thread starter
- #121
Tunamnanga tu. Alisema huwa hapangiwi sasa tunamshauri ili asifate ushaur kwa jeur yake na apotee kabsa.Unapoteza muda wako bure kwani toka lini jiwe likasikia???.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamnanga tu. Alisema huwa hapangiwi sasa tunamshauri ili asifate ushaur kwa jeur yake na apotee kabsa.Unapoteza muda wako bure kwani toka lini jiwe likasikia???.
Sasa unamlinganisha kikwete na huyu?Hata Kikwete aliwahi susiwa na akashinda ,usihofu,kikwete apumzike tu,hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Bado kubwa Lao ambalo litadondoka jukwaani ghafla na kufariki hapohapo siku na saa ileileHuyu bwana Mbelwa Petro ana maono yenye kuaminika!!! If you read between the lines all that he wrote has come to pass!
Tunamnanga tu. Alisema huwa hapangiwi sasa tunamshauri ili asifate ushaur kwa jeur yake na apotee kabsa.
Ndoto za abunuasiBado kubwa Lao ambalo litadondoka jukwaani ghafla na kufariki hapohapo siku na saa ileile
Ya kushinda njaa tenaUnamaanisha nini apa....kurudia kumtungua mtu au
Amuache mjuaji apambane na hali yake kibebeo mkapa hayupo tenaJK Mwenyewe hata Juzi pale Taifa kwenye hakuwela hata neno la kumsifia Rais hata kwa uwepo wa Àmani na kutokuwa na hofu ya korona mpaka uwanja umejaa na umewapa mapato Yanga.
Alikuwa ameshakatwa mkia yuleMagufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?
Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
Una hakika hii sentesi yako haina alama ya kiulizo mwisho?Kikwete ndiye atamuangusha Magufuli
Hata asaidiwe na nani, sisi wananchi ndio tushaamua. Nchi si mali ya Kinana, Kikwete wala Makamba. Wenye nchi (sisi Watanzania), tunamuweka Lissu madarakani. Msiwape watu fulani fulani umiliki wa nchi yetu. Wao ndio watapiga kura?
Kwa taarifa yako hao wazee hakuna rangi nao wameacha kuona kwa huyu bwana. Hata wakijitokeza itakuwa ni unafki tu. Lissu hazuiliki aisee, imekula kwenu Mataga na Jiwe wenu.
Tumia nguvu kidogo utaeleweka tuu!Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
CHADEMA wana akili ndogoTumia nguvu kidogo utaeleweka tuu!
Daah! Msukuma anadharau Sana huyu. Anawaona watu wote ni mabwege kwake