kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Madaraka ya nchi huwa hayapewi,ni lazimaMagufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?