Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja mpinzani wa magufuli ata mumoja tuuuPole kwa mawazo. Endelea kujifariji kama alivyokuwa Member mmoja humu JF aitwae "Bia yetu"
Asante kwa madiniKuna moja ya uzi ulishawahi kuletwa hapa jukwaani wa "One term president" nafikiri sasa ni wakati wake wakufikia utimilifu wake wote. Zile sauti za kolidoni na wale wahusika sasa ni wakati wao wakutimiza unabii huu.
Sasa kama mnalijua hilo kampeni za nini so muache tu muendelee na majukumu mengineMagufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Na safari hii Lazima atazima tu jukwaani...Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa hapendi Uchaguzi
Bila hata kupiga kampeni Magufuli ameshashinda. Hapo anatimiza takwa la kikatiba tuuHata ukipewa wewe ukampigie Kampeni Magufuli na Yeye apumzike, bado atashinda tu!!
Hawezi kampa nafasi hiyo kwani anajua Vasco Dagama yuko karibu sana na Membe kuliko yeye!!
Halafu CHADEMA mlivyo na roho mbaya kwenye kampeni zenu mnawaptishia bakuri hao maskini,hivi mkoje nyie wakora msio na huruma hata chembe?Wananchi wapo kwenye mikutano ya kampeni za ccm mifukoni hawana hata Senti tano. Mnasema JK aende akawaambie nini watanzania? Hali ya kimaisha kuwa watanzania ni mbaya Sana Sana. Maendeleo anayoongelea hakuna anaye tapinga tatizo ni maisha yamekuwa magumu kuliko serikali zote zilizowahi kupita.
Lisu anamchosha sana Rais wetu kipenzi MagufuliHalaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa hapendi Uchaguzi
kwa haki bin haki siyo rahisi
Atashinda au atatangazwa mshindi? Kuna tofauti ya hayo mambo mawili.
Na safari hii Lazima atazima tu jukwaani...