Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ccm mpya, hatutaki kuwatumia tena hao wazee, Musiba Polepole na Bashiru wanatoshaKuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba
Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa hapendi Uchaguzi
Halafu chadema mlivyo na roho mbaya kwenye kampeni zenu mnawaptishia bakuri hao maskini,hivi mkoje nyie wakora msio na huruma hata chembe?
Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba
Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
Nimemshangaa, kuna watu Wana maono ya hatari.Huu ulikuwa unabii, au jamaa alikuwemo kwenye kikao cha mipango?
Siulizi swali, ninatafakari.
Magufuli angekuwa anampenda Tundu Lissu angezuia pesa za matibabu ya Lisu ?magufuli hana hata aibu anataka kuendelea kuwa rais? he is a total failure and and an instigator of hate and divisions. kwa unafiki bila haya jana anasema anampenda Lissu mbona anatuona sisi wapumbavu sana?
Usiwaamshe wewe
Unamaanisha nini apa....kurudia kumtungua mtu auHakuna mtz yeyeto mwenye akili timamu atarudia makosa
Magufuli kila akisimama kwenye majukwaa ya kisiasa alikuwa lazima aukandie utawala wa baba yetu mtukufu Daktari Jakaya Mrisho Kikwete utafikiri hakuwahi kwenye cabinet ya Jk, zee ni linafki la kutupwa.Kikwete hawezi kukubali kumsaidia, kwani umesahau jinsi serikali (utawala wake) ulivyokuwa ukishambuliwa na huyo Muheshimiwa???!!
Mwache jk apumzike mlinanga sana
Hiyo ni research,kuona Hali ya kifedga ilivyo na ccm muone Hali halisi ya watanzaniaHalafu chadema mlivyo na roho mbaya kwenye kampeni zenu mnawaptishia bakuri hao maskini,hivi mkoje nyie wakora msio na huruma hata chembe?
Magufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?
Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
Huoni hiyo team imegawa Chama mana imekaa kikanda ziwa?Hii ni ccm mpya, hatutaki kuwatumia tena hao wazee, Musiba Polepole na Bashiru wanatosha
Ccm Zanzibar inatia huruma .Huoni hiyo team imegawa Chama mana imekaa kikanda ziwa?
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app