Hii ni dalili ya kushindwa. Yaani ni sawa na mpira haujaanza uwanjani, mnaanza kumlalamikia refa atapendelea. Sasa kama mnaona refa atapendelea wekeni mpira kwapani tuokoe kodi za watanzania.Mikakati ya ccm ipo kwenye nguvu ya rais ambaye anaweza kuagiza tume ya uchaguzi imtangaze mgombea yoyote wa ccm. Toka lini mbeleko ikawa mikakati?