Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.


Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.


Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.

Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.

Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.

Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
Aliwahi kumwambia kuwa JK ANAWASHWA WASHWA, ata anzia wapi tena kumuomba kwenye hilo?
 
Uchaguzi wa mwaka huu 2020 CCM wameanza kujikojolea majukwaaani maana hawana sera .......KIFO CHA MKAPA !
 
Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa kutokupenda Uchaguzi, anateseka jamani!
Enzi zake za Ubunge alizoea kupata ushindi HARAMU wa kupita bila kupingwa na baadae kwenye urais kupita kwa MABAVU, safari hii akithubutu tunaingia barabarani akatuchape wote risasi ili ang'olewe vizuri.
 
Kwenye kampeni mgombea wa ccm watu wanafuata singeli.
Mziki ukizimwa akianza kuonge ,watu wanandoka.


Mm naona sasa ni wakati.ccm ibadilishe jina wakalabati rangi yao,wabadirishe na nembo.
Angalau ionekane mpya kidogo.

Wafanye kama walivyofanya nyerere enzi ya TANU.
 
Magufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?

Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
Hivi zero brain angeongea nini?Mh.Mkapa alimbeba sana huyu zuzu zero brain
 
Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.


Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.


Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.

Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.

Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.

Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
Kama mikutano ya CCM imejaa wanawake basi ni Ishara njema kwani hao ndio wanaoongoza kupiga kura,

Kampeni zenu zina kundi ambalo wengi sio wapiga kura.

CCM itapeta.
 
1599141308275.png
 
Enzi zake za Ubunge alizoea kupata ushindi HARAMU wa kupita bila kupingwa na baadae kwenye urais kupita kwa MABAVU, safari hii akithubutu tunaingia barabarani akatuchape wote risasi ili ang'olewe vizuri.
Unaongea kuingia barabarani ukiwa umejificha kwenye jina la ID. Peleka tu ugoko wako barabarani virungu vinausubiri.
 
Si kweli mazingira ya tropical ndo yametuokoa check nchi zote za tropical Kama wanavaa maski.
Ameishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayo
Unaona Kenya wanavyoteseka kwani wao si nchi ya tropical?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Ameishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayo
Unaona Kenya wanavyoteseka kwani wao si nchi ya tropical?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
kumbuka kwenye maisha kuna zali pia ila sio yule zari wa diamond hapana
 
Uchaguzi wa mwaka huu 2020 CCM wameanza kujikojolea majukwaaani maana hawana sera .......KIFO CHA MKAPA !
Waimba singeli kwenye majukwaa ya kampeni wanamfanya Magufuli wanachokitaka.

Mara wampigishe magoti mzee wa watu
Mara wamfundishe kucheza singeli ili mradi asipate muda wa kupiga push ups baada ya hoja kumuishia.
 
Back
Top Bottom