Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tunamuombea Bwana Magufuli aishi miaka mingi ili ashuhudie wenye akili wakiongoza taifa letu.Hata ya Burundi yalikuwa ndoto za Abunuwasi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamuombea Bwana Magufuli aishi miaka mingi ili ashuhudie wenye akili wakiongoza taifa letu.Hata ya Burundi yalikuwa ndoto za Abunuwasi!!
Aliwahi kumwambia kuwa JK ANAWASHWA WASHWA, ata anzia wapi tena kumuomba kwenye hilo?Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.
Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.
Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
Enzi zake za Ubunge alizoea kupata ushindi HARAMU wa kupita bila kupingwa na baadae kwenye urais kupita kwa MABAVU, safari hii akithubutu tunaingia barabarani akatuchape wote risasi ili ang'olewe vizuri.Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa kutokupenda Uchaguzi, anateseka jamani!
Sasa hicho kijiwe chenu usikute wahusika wa kijiwe hicho, baba zenu wametumbuliwa kwa ufisadiii, sasa utaacha kulialia hapa?Kijiweni kwetu kila mtu anasema jiwe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi
Hivi zero brain angeongea nini?Mh.Mkapa alimbeba sana huyu zuzu zero brainMagufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?
Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
Kama mikutano ya CCM imejaa wanawake basi ni Ishara njema kwani hao ndio wanaoongoza kupiga kura,Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Waatu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.
Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa,
huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.
Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.
Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.
Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
Unaongea kuingia barabarani ukiwa umejificha kwenye jina la ID. Peleka tu ugoko wako barabarani virungu vinausubiri.Enzi zake za Ubunge alizoea kupata ushindi HARAMU wa kupita bila kupingwa na baadae kwenye urais kupita kwa MABAVU, safari hii akithubutu tunaingia barabarani akatuchape wote risasi ili ang'olewe vizuri.
Amelaaniwa mtu Yule amtegemeaye mwanadamu
Magu songa mbele Mungu Yuko na wewe
Hao wanaowategemea wastaafu ndio washinde achana na
Wewe NI jeshi
Ameishinda Covid19Amewahi shinda nini maishani
Si kweli mazingira ya tropical ndo yametuokoa check nchi zote za tropical Kama wanavaa maski.Ameishinda Covid19
Ameishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayoSi kweli mazingira ya tropical ndo yametuokoa check nchi zote za tropical Kama wanavaa maski.
hata Barcelona hatukuamini kama atafungwa 8 ila alipigwa goli zote zile....lazima wawe waangarifu sana na chademaHata ukipewa wewe ukampigie Kampeni Magufuli na Yeye apumzike, bado atashinda tu!!
kumbuka kwenye maisha kuna zali pia ila sio yule zari wa diamond hapanaAmeishinda Covid19 kwa mbinu aizotumia kupambana nayo
Unaona Kenya wanavyoteseka kwani wao si nchi ya tropical?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
alishasema haiwezekani nikuteue mimi alafu faida apate mwingne haiwezekni hiloVijiwe gani ambavyo wanamzungumzia Lisu?
Wote mbona wanakwambia uchaguzi ulishaishaaa?
Endeleeeni na kiiki zenu tuuuu.
Waimba singeli kwenye majukwaa ya kampeni wanamfanya Magufuli wanachokitaka.Uchaguzi wa mwaka huu 2020 CCM wameanza kujikojolea majukwaaani maana hawana sera .......KIFO CHA MKAPA !