Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo


Sipatagi watesi kusema nilimuuwa Magufuli kwa uzi huu ila naulizwa yupo wapi Ben saanane huwa inanitafakarisha sana
 
Sipatagi watesi kusema nilimuuwa Magufuli kwa uzi huu ila naulizwa yupo wapi Ben saanane huwa inanitafakarisha sana
Uzuri ni kwamba aliyekuwa anaua wenzie naye kafa kindezi huku akiwa na ulinzi wa hali ya juu na huku akiwa na huduma za kisasa za tiba pembeni yake. Endelea kuungua na moto wa jehanam Magufuli
 
🀣🀣
 
I have read your article yesterday you seem to have some crucial Info's but Still hesitate to call you prophet.
Watu wa state wamo humu na uwenda wananijuwa ila hawaoni uhusiano wowote nikipaji na uwezo Mungu kanipa naona kesho naona mambo makubwa sana namengine siandiki sihitaji mtu aniambie wala nini huu niuwezo Mungu kanipa. Sipo peke yangu wapo wanadam kama mm sema niwachache
 
Huyo anajua anachofanya mkuu ,hata Ben saanane aliandika humu.....Ukiona anaandika kitu basi ujue wapo kwenye implementation/execution.
Nataka nikwambie sipo na sitokuwa ila najuwa nina uwezo wa ajabu na mshukuru Mungu
 
Ujinga mtupu, nikisema wewe utakuwa hakika lazima ufe, huko siyo kuiona kesho.
Huwezi kujuwa kesho wala kuiona kama hujupewa hiyo karama. Siwezi kukujibu ila muda utakujibu kila dukuduku lako....
 
Kwa kauli huwenda waliomuua kuna baadhi yao pia waahatangulia mbele ya haki. Nimekuwa nikikufuatilia kwa ukaribu mno huwenda ukawa boss mmoja wapo kule eagle maana kuna vitu unaandika vinafikirisha sana
Nina uwezo wa ajabu nasikia pasipo vifaa vya kusikiliza naona kabla hawajaona sitokuwa wa kwanza ila wanadam wa aina kama yangu wapo japo tupo wachache.
 
Wengi wanao kitamani kiti Tz hawakikalii
Ulimuonya saa 8 haya sasa na huyu saa 100 mboni humuonyi? Wanasema alibakwa na yeye kala buyu maana yake kweli alibakwa? Twende kazi unasemaje kuhusu hilo nini kinafuata alibakwa tena sababu lisemwalo km kifo hutokea sasa watu wanasema sema kubakwa kubakwa je alibakwa? Kwenye maono yako huko ukiingia unaonaje alibakwa? Au hapo chenga tu huoni kitu?
 
Hapo umeandika uwongo kufarahisha nafsi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…