Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

OK tufanye amejipoteza mwenyewe..
Waziri Mkuu alikataa bungeni kuleta wataalam kutoka nje ya nchi..
Alisema sisi wenyewe tuna vikosi vyenye uwezo wa hali ya juu wa kuchunguza.. Mwaka wa tano huu.. Tunaendelea kusubiri
Kwa akili yako wewe kila tukio la kipuuz serikali inatakiwa ilete wataalam toka nje?Hahahahhah. Kwa lipi zaidi?Huyo saa 8 alikua ni nani na ana tishio gani kwa mamlaka?
 
Yah now democracy imerudi, hakuna kubambikiza kesi wala nini.Huduma za kijamii zimerudi sehemu nzuri. Maji,umeme, Afya na vingine now viko vizuri mno kuliko wakati wa dikteta Magufuli.
Kwelii, hakika mtu hawezi kuichezea Tanzania na akabaki hai...[emoji123]
 
Kwa akili yako wewe kila tukio la kipuuz serikali inatakiwa ilete wataalam toka nje?Hahahahhah. Kwa lipi zaidi?Huyo saa 8 alikua ni nani na ana tishio gani kwa mamlaka?
Hakuwa na nguvu yoyote wala tishio lolote kwa mamlaka..
Sasa fikiria tulikuwa na watu wa namna gani na uwezo gani wa kufikiri.. Badala ya kudeal na mambo ya maana.. Wao kazi yao ni kushinda kwenye social media kuangalia nani anamuongelea vibaya MTUKUFU KAYAFA na kudeal naye
 
Halafu wewe TunainEl inaonekana kuna jambo unalijua ili likija kutokea useme si unaona sasa " nilisema mimi"
Kuna kitu anajua huyu
 
Hata ukiwa kwenye vyama vya Siri vya kichawi mfano freemason,au umaarufu,au utajiri wa kujitoa kafara,nk nk.
Mda wako wa kifo ukifika huwa unajua na unaambiwa kabisa mwaka huu zamu yako au kafara lijalo ni wewe.
Ipo njia ya kujinasua ukiwa na shida hii tafuta msaada utaupata si kwamba wao Wana nguvu zaidi kuliko upande wa pili,wengi tu waliyavunja maagano yao na wakatoka huko na leo wako huru wazima kabisa.
Tupe mifano mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom