Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Hata ukiwa kwenye vyama vya Siri vya kichawi mfano freemason,au umaarufu,au utajiri wa kujitoa kafara,nk nk.
Mda wako wa kifo ukifika huwa unajua na unaambiwa kabisa mwaka huu zamu yako au kafara lijalo ni wewe.

Ipo njia ya kujinasua ukiwa na shida hii tafuta msaada utaupata si kwamba wao Wana nguvu zaidi kuliko upande wa pili,wengi tu waliyavunja maagano yao na wakatoka huko na leo wako huru wazima kabisa.
 
Yaani uipende Tanzania mpaka ifike hatua ya kuwaua watanzania wenzako hovyo kama uhai wao hauna thamani, ndio upendo gani?
Sio Tz tu watu wapuuz wanakouawa, Huko UEA,USA,RUSSIA nk huwa hawachek na wanaocheza na national interests
 
Hata ukiwa kwenye vyama vya Siri vya kichawi mfano freemason,au umaarufu,au utajiri wa kujitoa kafara,nk nk.
Mda wako wa kifo ukifika huwa unajua na unaambiwa kabisa mwaka huu zamu yako au kafara lijalo ni wewe.
Ipo njia ya kujinasua ukiwa na shida hii tafuta msaada utaupata si kwamba wao Wana nguvu zaidi kuliko upande wa pili,wengi tu waliyavunja maagano yao na wakatoka huko na leo wako huru wazima kabisa.
Jidanganye.

Hao jamaa hawaui KICHAWI kama unavyo fikiri.
 
Sio Tz tu watu wapuuz wanakouawa, Huko UEA,USA,RUSSIA nk huwa hawachek na wanaocheza na national interests
Ni kweli kuna wapuuzi wanaondolewa kwa maslai mapana ya nchi..
Lakini unaweza kumuondoa mtu akihoji elimu yako? Hiyo ni national interest?
Na mambo mengine mengi yamefanyika gizani ya ajabu...
Huko ulikotaja wanaangalia mambo makubwa sana ya kitaifa sio huku kwetu
 
Ni kweli kuna wapuuzi wanaondolewa kwa maslai mapana ya nchi..
Lakini unaweza kumuondoa mtu akihoji elimu yako? Hiyo ni national interest?
Na mambo mengine mengi yamefanyika gizani ya ajabu...
Huko ulikotaja wanaangalia mambo makubwa sana ya kitaifa sio huku kwetu
Huyo aliyehoji elimu unauhakika aliondolewa na serikali?Ukiambiwa ulete ushahidi unaweza?
 
Nchi now imefunguka,uchumi unakua na pesa zimejaa mifukoni mwetu.Leo hii kila mtanzania anafurahia keki ya Taifa kwa kupata huduma bora kwa bei ya chini zaidi.Mama anaupiga mwingi mno
Umenena, japo wapo wachache waliokuwa wanufaika na ule utawala wa giza ndio wanapigapiga vikelele
 
Huyo aliyehoji elimu unauhakika aliondolewa na serikali?Ukiambiwa ulete ushahidi unaweza?
OK tufanye amejipoteza mwenyewe..
Waziri Mkuu alikataa bungeni kuleta wataalam kutoka nje ya nchi..
Alisema sisi wenyewe tuna vikosi vyenye uwezo wa hali ya juu wa kuchunguza.. Mwaka wa tano huu.. Tunaendelea kusubiri
 
Back
Top Bottom