Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uwezo wa ajabu sio vingine. Naukifuwata ninacho shauri huwezi juta.
Najiogopa sanaduuu utabiri unetimia
Wanajuwa waliohusika kama pia wapo hai. EndNaona una uwezo fulani hivi wa kuona yajayo, lakini hadi hii leo umetuficha wapi mlipoutupa mwili wa Ben Saanane.
DuhItakuwa Sir 8 anamuita
Wanajuwa waliohusika kama pia wapo hai. End
Kweli:-Wewe ni mhusika Mkuu kwani vitisho vyako kuhusu kumuua Ben Saanane vipo hapa vya maandishi ni ushahidi tosha kwamba wewe ni mmoja wa wahusika wakuu wa kupotea kwa Ben. Mikono yako imejaa damu ya Ben Saanane.
Sir 8 hakufuata ulicho shauri???Nina uwezo wa ajabu sio vingine. Naukifuwata ninacho shauri huwezi juta.
Hahahahaha, umenichekesha mazeee.Jiwe alijaza watu wake kibao humu wakiona unaisema vibaya serikali lazima wakutegee Honeytrap wakuingize kwenye 18 wakupoteze.
Soma mada yangu nina nguvu za ajabu mpaka najiogopa.Halafu wewe TunainEl inaonekana kuna jambo unalijua ili likija kutokea useme si unaona sasa " nilisema mimi"
Ben Saanane alizikwa wapi?Soma mada yangu nina nguvu za ajabu mpaka najiogopa.
Huna nguvu yoyote wewe! Kama unajiogopa ni hofu zako tu zimekomaa!Soma mada yangu nina nguvu za ajabu mpaka najiogopa.
Daaah mkuu The BossMay his wish be granted..