nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
TumainiEl, leo Mungu muumba mbingu na nchi amekutuma.
Umekuwa NABII
Maneno haya yalipaswa kunenwa na viongozi wa dini waziwazi.
Leo umetimiza neno la Yesu, alilowaambia wayahudi kuwa, msiponiimbia ninyi nitayaamuru mawe yapige kelele.
TumainiEl, leo umekuwa jiwe lililoamuriwa na Yesu upaze sauti maana wayahudi(viongozi wa dini) wamekataa kuimba
Ninashaka utakuwa jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi
Umekuwa NABII
Maneno haya yalipaswa kunenwa na viongozi wa dini waziwazi.
Leo umetimiza neno la Yesu, alilowaambia wayahudi kuwa, msiponiimbia ninyi nitayaamuru mawe yapige kelele.
TumainiEl, leo umekuwa jiwe lililoamuriwa na Yesu upaze sauti maana wayahudi(viongozi wa dini) wamekataa kuimba
Ninashaka utakuwa jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi