Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Granted!May his wish be granted..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Granted!May his wish be granted..
Hakuna kitu,jambo,hali inatokeaga humu ulimwenguni KWA bahati mbaya.Ni mipango.Unaweza kudhani jambo fulani ni la bahati mbaya lkn wakati mwingine imepangwa lionekane bahati mbaya .Naona watu waliomtabiria kifo JPM ni wengi, sijui ilikuwa ni utabiri kweli, coincidence au Chuki.
Mkumbushe huyo, atakuwa ama amesahau ama hajui kuwa maneno huumba!
May his wish be granted..
Huyu hataachia kiti hicho kwa lugha hizi tujue tunaye M7 mwingine hapa
Aisee!Nilipost 14.09.2020.
Wewe kweli haya maneno? Bas tumshike huyu mwamba atoleee maelezo kwakweliHalafu wewe TunainEl inaonekana kuna jambo unalijua ili likija kutokea useme si unaona sasa " nilisema mimi"
I never knew you are this bad lol ?!May his wish be granted..
Huyu Jamaa alisema Ben Saanane atauliwa.Wewe kweli haya maneno? Bas tumshike huyu mwamba atoleee maelezo kwakweli
Baada ya Mazishi tutoengea mengi, lakini tujue kuna watu walimuwahi mzee wetuHalafu wewe TunainEl inaonekana kuna jambo unalijua ili likija kutokea useme si unaona sasa " nilisema mimi"
Weeee[emoji848][emoji848]Huyu Jamaa alisema Ben Saanane atauliwa.
Tafuta Thread za Ben Jamaa alikuwa anapotosha sana taarifa kwamba ben hakupotea yaani kama kuna kitu alikuwa anaficha na kwenye thread zake ben alikuwa anamtisha sana.Weeee[emoji848][emoji848]
Jiwe alijaza watu wake kibao humu wakiona unaisema vibaya serikali lazima wakutegee Honeytrap wakuingize kwenye 18 wakupoteze.Weeee[emoji848][emoji848]