Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Jamaa ulijua kabisa kuwa mzee alikuwa kwenye hali ya "maji kupwa maji kujaa"
 
Mteta mada hakika wewe ulikua mjumbe wa Mungu kwa wakati uliofaa, lakini huwenda kwa bahati mbaya aliye kusudiwa kufikishiwa ujumbe haukumfikia kwa wakati ulifaa.
 
Back
Top Bottom