Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Leta cutting au screen shot ya huo ukurasa hapa. Otherwise hujui kusoma KiingerezaKwabendera sio mimi mkuu hio imeandikwa na Kwabendera kwamba makamu alibakwa na J
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta cutting au screen shot ya huo ukurasa hapa. Otherwise hujui kusoma KiingerezaKwabendera sio mimi mkuu hio imeandikwa na Kwabendera kwamba makamu alibakwa na J
Nataka nikwambie sipo na sitokuwa ila najuwa nina uwezo wa ajabu na mshukuru Mungu
Nafuu uishie Form VI kuliko kuwa na PhD ya kuigiliza kwa mwenzio (Plagiarism). Magufuli alikopi kwa mtu mwingine Dr Y Philip.Sawa ila kitendo cha kumuua Ben Saanane mliingia chaka sana ,how come mtu kuchallenge Phd kuhusu kutu za maganda ya korosho kwamba ni feki then mumuue? Then mmepata nini? Aliyesemwa na msemaji wote wametangulia ,sasa mlifanya kumuua kwa faida gani? Wote wamekwenda nyinyi mnafaidika na nini?
Mpaka sasa hujajuwa wahusikaSawa ila kitendo cha kumuua Ben Saanane mliingia chaka sana ,how come mtu kuchallenge Phd kuhusu kutu za maganda ya korosho kwamba ni feki then mumuue? Then mmepata nini? Aliyesemwa na msemaji wote wametangulia ,sasa mlifanya kumuua kwa faida gani? Wote wamekwenda nyinyi mnafaidika na nini?
Muhusika ni Magufuli, mbona Kabendera kamtaja!Mpaka sasa hujajuwa wahusika
--Mpaka sasa hujajuwa wahusika
Muhusika ni Magufuli, mbona Kabendera kamtaja!
Yeye anadhani ni jpm ndio mwenye tuhuma na mhanga wa hiyo PhD!kumbe dogo aligusa system ya elimu nzima hadi vyuo vikuu vingekua uchi na kama taifa tungeaibika sana sana!!Mpaka sasa hujajuwa wahusika
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI umepoa sana kiongozi kulikoniYeye anadhani ni jpm ndio mwenye tuhuma na mhanga wa hiyo PhD!kumbe dogo aligusa system ya elimu nzima hadi vyuo vikuu vingekua uchi na kama taifa tungeaibika sana sana!!
Nadhani Elimination method Ili taifa lipone na aibu kuu!!
Nawaza tu!