The boy tz
Senior Member
- Sep 25, 2018
- 116
- 105
Mkuu Msuluhishi ukiwa upande wa chama fulani ccm cdm cuf nk. unakuwa na makengeza mimi natamani hizo pesa za kununulia ndege tugeimarisha ttcl mana biashara ya mawasiliano inalipa na haina hasara kama ya ndege lakini siwezi kufurahia ndege yetu kushikwa na mdeni anayetudai zaidi ya bi 70 hizo kilomita ngapi? za brbr. ukiona mtoto anafurahi mali ya nyumbani kushikwa na mdeni uyo si mwanafamilia.Anaitwa Nzagambadume! Lakini kaandika kwa kejeli za kimipasho za watoto wa jinsia nyingine! Aibu sana!
Kama angekuwa hajamaliziwa tungesikia prof Wakukodoa kafungiwa kwenye banda la Nguruwe.MKULIMA AKIONA KUKAMATA NDEGE HAITOSHI ATAANZA KULENGA VIONGOZI WAKUBWA WA SERIKALINI WAKIFANYA ZIARA NJE YA NCHI
Mkuu Chakaza jamaa badala ya kujibu hoja anatokwa povu!Tuliza akili na andika kwa utulivu. Jee tumelipa? Tumeshinda? Au tumesamehewa? Hata hilo ni siri?
Na tukio la ndege kuachiwa ni mpaka Rais ndio aseme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia likes kwenye comment ujue kuna wanaotaka kujua.
Nami nashangaa jibu hapo kwa nini limekuwa gumu hivyo?Mkuu Chakaza jamaa badala ya kujibu hoja anatokwa povu!
Hongera sana jabali lisiloyumba Magufuli na nguli wa sheria Prof.Palamagamba Kabudi,mzalendo wa kweli na Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mabeberu wamebaki wanaweweseka tu,Steyn chali.Mkwara wa Kabudi ulisaidia sana, MABEBERU yakisikia sauti ya mzalendo Kabudi yanaingia hadi chini ya meza kwa uwoga MABEBERU yaliposikia ya kwamba na sisi tumekuwa DONA KANTRE yaliona aibu sana, kongole kwa mawakili wetu
Naambiwa zilionyeshwa hadi picha za utawala katili wa makaburu ambao mkulima naye katokea huko. Vile vita vya korosho tulivyoshinda kwa kutumia jeshi mahiri kabisa duniani viliwatisha MABEBERU HAYO ya Canada yakaona bora yaishe. Mkwara wa Profesa Kabudi kuacha kutoa order za ndege Canada ulisababisha mamia na maelfu ya wacanada kuandika petition kwamba ndege iachiwe maana speed ya Tanzania kununua midege kwa cash tena na mengine yanakuja ni faida kwao na ajira nchini mwao hivyo wakihamia Brazil itawacost sana
Mawakili wetu pia wa li shine sana mahakamani,ilichukua dakika 20 tu judge Smith ku dismiss case huku mkulima akingua kilio na kuambulia patupu. Hongera sana awamu ya tano kwa kushinda kesi na kuwezesha mawakili kuwa na kiwango cha kimataifa
Hongera awamu ya tano kwa kumtoa Profesa Kabudi jalalani bila yeye sijui ingekuwaje kwa kweli, hongera sana mtukufu two phd's holder dr John Pombe Joseph Magufuli. Dege la nane linatua Mwanza ambapo nataarifiwa jiji limezizima likiisubiria kwa hamu kubwa na mapokezi hayo yanatarajiwa kuwa livestreamed nchi zaidi ya 75 duniani ambapo wengi wanashangazwa na KASI KUBWA NA KISHINDO KIZITO cha awamu ya tano kama vile ujenzi wa ma flyovers, viwanda 4000 ndani ya miaka 4, viwanda 100 kila wilaya, zahanati 357 nchi nzima, haijawahi kutokea dunia nzima inashangazwa na kumkubali sana DR JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Hapo bila shaka mzungu kalipwa ndio maana hakuna mbwembwe ila wadai bado wapo kuna ile kampuni ya Japan inayodai USD 61 M, Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong USD 200 M, Symbion ya US inayodai USD 561 M yote zaidi ya USD 800 M.
We still have a long way to go and we've nothing to smile about.
Lazima mmetoa hela kulipa kulima, otherwise ataikamata inayoenda India kwani ni nchi ya commonwealth Lipeni madeni ya watu acheni dhulumaHongera sana jabali lisiloyumba Magufuli na nguli wa sheria Prof.Palamagamba Kabudi,mzalendo wa kweli na Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mabeberu wamebaki wanaweweseka tu,Steyn chali.
Eti lipeni,kwa hiyo wewe huhusiki na wala sio Mtanzania,si ndio.Hama basi utuache na nchi yetu.Lazima mmetoa hela kulipa kulima, otherwise ataikamata inayoenda India kwani ni nchi ya commonwealth Lipeni madeni ya watu acheni dhuluma
Jamaa kweli wewe unayajua mapambio ya kumsifu na kumuabudu Jiwe.Bila shaka wewe utakuwa na ujamaa na profesa majalalani!Hongera sana jabali lisiloyumba Magufuli na nguli wa sheria Prof.Palamagamba Kabudi,mzalendo wa kweli na Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mabeberu wamebaki wanaweweseka tu,Steyn chali.
Mimi sio mnafiki kama wewe,penye sababu ya kusifu nasifu,penye sababu ya constructive criticism na-criticize.Jamaa kweli wewe unayajua mapambio ya kumsifu na kumuabudu Jiwe.Bila shaka wewe utakuwa na ujamaa na profesa majalalani!