Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Kupandishwa mishahara ni haki ya wafanyakazi sio hisani ya mtu, hisani unaweza kufanya kwa mfanyakazi wako ila wafanyakazi wa serikali ni sheria zinaongelea haki za mfanyakazi. Unaweza kumfukuza mfanyakazi wako kwa madakika tu ila mfanyakazi wa serikali ziko taratibu sina uhakika na wafanyakazi wa private sector ila naamini ziko sheria. Sheria zimewekwa makusudi ili kuwalinda vinginevyo ingekuwa ni kama kumpa binadamu madaraka ya kugawa rizki ingekuwa balaa na msiba. mzee wetu katika miaka 5 kafukuza wangapi? hajavunja sheria ila katumia madaraka yake kaumiza familia ngapi? tushukuru Mungu ndio anagawa rizki ingekuwa binadamu ndio kapewa kazi hiyo..........
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Katika watu ambao hawaaminiki 100% mmoja wapo ni JIWE.....Ni muongo muongo paseeee!!! Hatumpi kura ,apigiwe na MAYANGA na MECCO.
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Hizo ni ahadi za kampeni tu akichaguliwa atarudia kiapo chake cha kutowaongeza mishahara wafanyakazi mpaka atakapokamilisha Miradi yake ya SGR, Bwawa la umeme na madege yatakaporuka miaka 10 ijayo. Wafanyakazi walifanya kosa kumchagua, wasidanganyike tena ni mtaalamu sana wa kudanganya!
 
Kuna haja debate ifanyike wagombea wote waitwe kuulizwa maswali na iwekwe ile mashine ya kupima ukweli na uongo basi baada ya hapo hakuna kampeni tunaamua tu nani mkweli nani muongo. ni bora kuwa na kiongozi usio mpenda lakini mkweli. Kuna mtu aliwahi kuniambia wakati wa Bush rais wa USA kuhusu vita vya Iraq, akasema huyu anaweza kuchukiwa na watu wengi ila na uhakika anafanya anachokiamini kuwa ni kweli hata kama sio kweli, ila viongozi wetu tunawapenda ila akiongea basi sicho anachokiamini. Polepole kama namuona ile machine ingepiga kelele mpaka basi.
 
Kupandishwa mishahara ni haki ya wafanyakazi sio hisani ya mtu, hisani unaweza kufanya kwa mfanyakazi wako ila wafanyakazi wa serikali ni sheria zinaongelea haki za mfanyakazi. Unaweza kumfukuza mfanyakazi wako kwa madakika tu ila mfanyakazi wa serikali ziko taratibu sina uhakika na wafanyakazi wa private sector ila naamini ziko sheria. Sheria zimewekwa makusudi ili kuwalinda vinginevyo ingekuwa ni kama kumpa binadamu madaraka ya kugawa rizki ingekuwa balaa na msiba. mzee wetu katika miaka 5 kafukuza wangapi? hajavunja sheria ila katumia madaraka yake kaumiza familia ngapi? tushukuru Mungu ndio anagawa rizki ingekuwa binadamu ndio kapewa kazi hiyo..........
Ndugu yangu kumbuka sheria ni msumeno inakata mbele na nyuma. Ukiwa mfanyakazi unalindwa na sheria sawa lakini ni lazima pia mfanyakazi ati sheria za kazi. Mfano uwajibikaji, kutokupokea rushwa, vyeti feki, wizi hizi zote zinamuondolea kinga. Nchi kabla Magufuri hajaingia madarakani wenyenchi yao ambao ni wapiga kura walikuwa na malalamiko Kila kona yanayohusu rushwa, kuzalauliwa na hao watumishi wa uma. Kucheleweshewa kwa makusudi kwajili ya urasim. Kwakifupi walikuwa watumishi wengi wezembe walirudisha nyuma uchumi wa nchi wakati huohuo wao wanaendelea kudai maslai haki. Au umejisaulisha ndugu yangu, nasema uongo ndugu yangu. Ilikuwa imefika wakati ukitaka kumuandikisha mtoto darasa la kwanza mwalimu anakuomba pesa la sivyo atakwambia nafasi zimejaa. Sasa jemedali wetu mtetezi wawanyonge JPM ameingia kaweka mambo sawa tunampa mitano mingine ili kazi iendelee.
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Failed politician
 
Magufuri ni muongo tangu akiwa waziri wa ujenzi kwa kudanganya hata bungeni kwenye takwimu za ujenzi wa Barabara dawa yake ni 28/10/2020. Kiburi ndicho kilimfanya kuwa jeuri na kuwatendea waTZ atakavyo sasa ajiandae kufungasha virago
 
Kuondoa FAO la kujitoa Ni ugomvi mkubwa na Wafanyakazi private sekta.

Mwaka 2018 Magufuli na CCM walifuta FAO la kujitoa bila kujali maoni ya TUCTA.

Wafanyakazi sekta binafsi walilalamika, CCM NA MAGUFULI hawakujali.

NSSF wanalipa 33% ya mshahara wa Mwezi na watu hawajui Ni Lini watapata Pesa zao.

Watu wote wanastahili fao la kujitoa.

Wale MATAGA wanaitetea CCM hawaonekani kwenye Uzi huu.
 
Acha ramri hizo, atakuwa mbaya zaidi kwani wewe ni mama yake mzazi unajifanya unamjua sana. Watanzania tumechagua ukweli na maendeleleo, tunajua Magufuli akiahidi anatekeleza. Aliposema aongezi mishahara alitoa sababu tukamwelewa, sasa ameahidi kupandisha tunamwamini. Mfano alisema atajenga barabara akajenga, alesema atanunua ndege ilikufufua shirika la ndege amefanya, alisema atanunua korosho kwa bei ya elfu3 kwa wakulina kanunua, acha uzushi wako sisi tuko na mzalendo wa kweli anayetuheshim kwakutuambia ukweli kuliko huyo kibaraka wenu cha domo mropokaji jeuri. #MAGUFULI MI 5 TENA KAZI IENDELEE
'ID' mpya hii kwa ajili ya kampeni...teh teh teh Kisu kimegusa mfupa kudadadeki.
 
Back
Top Bottom