Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Aliogopa hata kufanya mkutano kibamba na ubungo
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
 
Anagalia huyu Tumbili,inawekwa kwenye ilani ya uchaguzi kanakwamba leo ndio anaanza kutafuta urais?
Miaka mitano hiyo yote tulikua tunakula hiyo kichwachake kama cha kubanga?
Bora yeye na huyo mlemavu wenu wa kuongea ana spite saliva kama kiboko. Nyambaff
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Kama ana nia ya kweli aongeze mshahara mwezi huu wa October vinginevyo.......
 
Acha ramri hizo, atakuwa mbaya zaidi kwani wewe ni mama yake mzazi unajifanya unamjua sana. Watanzania tumechagua ukweli na maendeleleo, tunajua Magufuli akiahidi anatekeleza. Aliposema aongezi mishahara alitoa sababu tukamwelewa, sasa ameahidi kupandisha tunamwamini. Mfano alisema atajenga barabara akajenga, alesema atanunua ndege ilikufufua shirika la ndege amefanya, alisema atanunua korosho kwa bei ya elfu3 kwa wakulina kanunua, acha uzushi wako sisi tuko na mzalendo wa kweli anayetuheshim kwakutuambia ukweli kuliko huyo kibaraka wenu cha domo mropokaji jeuri. #MAGUFULI MI 5 TENA KAZI IENDELEE
Unajielewa wewe kweli?
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Bwana Magufuli ana asili ya utapeli tapeli
 
Robo tatu ya watendaji ya wake wote atapiga chini, walimdanganya Sana anakubalika tofauti na Hali halisi.

Ajabu kuna watumishi wanamsapoti Hali wanakuja tumbulia, faida ipi sasa, hati hati sirro,mabeo na Mahera ndo ataanza nao kuwatumbua. Wakishatumbuliwa ndio ukumbuka umuhimu wa mabadiliko sababu mnufaiko umekwisha.
 
Kwa alivyotendewa, atalipiza kisasi
Hicho kisasi atakilipiza wapi?

Wewe una-assume kama atakuwa amechaguliwa kwa awamu nyingine, lakini Mimi kwa kuangalia indications zote zinampa Tundu Lissu, uwezekano mkubwa wa kushinda kwenye uchaguzi huu
 
Nyoka ni nyoka haijalishi anabadili rangi,yaani watanzania mnataka kupiga nje wakati mmebaki na goli!Mnaogopa au mnamhurumia yule mjivuni katili,nyoka ni kupiga kichwa tu basi,siyo kila baada ya uchaguzi wafanyakazi wanalialia ati shemeji unatuachaje?#NIYEYE KURA YA KIMBUNGA
Jiwe na watoto wa dada zake wametugeuza sisi mifugo yao,
Wameiteka ccm imekuwa Mali ya ukoo.
 
"Sitoshiriki kuharibu AMANI ya Taifa langu wala kurudisha nyuma Maendeleo kwa KUWEKA REAHANI RASILIMALI ZETU
~Nitamchagua MAGUFULI"

#TulipotokaTunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Hicho kisasi atakilipiza wapi?

Wewe una-assume kama atakuwa amechaguliwa kwa awamu nyingine, lakini Mimi kwa kuangalia indications zote zinampa Tundu Lissu, uwezekano mkubwa wa kushinda kwenye uchaguzi huu
Wajinga ni wengi nchi hii,we cheki kuna mpaka watumishi wa tume wanampigania Hali akishinda tu ni lzm ataanza nao kuwashughulikia kwa kuwatumbua,atatumbua robo tatu ya watendaji wake Sasa sijui huwa na matope kichwani.Check ma polisi mtu amewanyima haki zao za kikatiba za nyongeza za mishahara still bado yanasapoti ccm,Hawa ni maiti au binadamu,unachezea bomu linalokuja kukuumiza
 
Soon atawatoa wazee wa uhamsho jela kwa jinsi alivyozidiwa, anahaha kila sehemu kutia huruma, arudi sasa wengi watakimbia nchi hii am telling you.
Kanda ya ziwa wapige kura zote za kumkataa ili asijewabomolea nyumba zao.
Huyu ni adui wa taifa, we endelea kumkumbatia ili aje akutumbue
 
Back
Top Bottom