Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile za Maabara alizipiga nyingi sana,ili amngowe kiulaini Mama Janet! Wahenga hapa watanielewa!!Mbona alipokuwa maabara alipiga picha nyingi tu na zilikuwa viral.. in short kuna vitu vingine havina umuhimu kuviongelea.
Njoo ikulu ntakuonyesha picha usijaliFix tu huyu mzee, hana lolote.
Kama kweli alete picha!
Miaka ya nyuma mtu unapiga deiwaka ya udereva teksi huku unasoma
Huna akili.
Ikulu ya Chato au Burigi?Njoo ikulu ntakuonyesha picha usijali
Nakumbuka hata mimi alinipeleka msasani, ila bahati mbaya tulidaiana chenji alipaswa kunirudishia jero (Tsh 500) kwa sababu alinicharge Tsh 2,500 na mimi nilitoa Tsh 3,000 yaani noti 3 za Tsh 1,000
Basi tuliposhindwana dereva huyo wa Tax bubu ambae alikuwa mwanafunzi wa UDSM ikabidi anirushe alipo nichukulia pale ubungo kona ya chuo lucha ya kuwa nilikubali kumuachia lile Jero lakini aligoma kwa madai kwamba yupo kwenye vita ya uchumi na Mabeberu wapanda Taxi
Kwakweli hii vita yake ya kiuchumi na mabeberu wapanda Taxi kaianza muda mrefu sana nafikiri mnakumbuka hata wakati akiwa waziri, ase!!! maamuzi yake ya hovyo na jeuri bila busara yapo kwenye damu tangu akiwa Tax driver pale Ubungo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki sinto sahau !!!
MITANO TENA!!!
Huna akili.
Mwambie na yeye arudi kuendesha tax.Waambieni watoto wawe wanafanya deiwaka. Sio kutwa wanajadili habari za umbea
Me simuamini tangu aseme aliongea na marehemu Dr Kigoda akiwa ICU hospitali huko India sina hamu na stori zake.Huyo mzee ni muongo sana mwamini upande wa salamu pekee mengine yote achana nayo.
Rais Magufuli ametoa siri hiyo leo wakati akizindua daraja la la Ubungo lililopewa jina la Kijazi Interchange.
Rais Magufuli amedai kuwa alipokuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam alikuwa akipiga kibarua cha kuendesha teksi bubu ili ajipatie chochote kitu. Na kituo alichokuwa anapaki ni jirani na lilipojengwa daraja hilo la juu mahsusi kupunguza foleni.
Rais Magufuli amesema kazi ya urais ni ngumu sana maana pamoja na kuwa na hamu ya kuendesha gari lakini huwa anakatazwa na kuzuiliwa.
Mbali ya hayo rais wa JMT amesema kuwa maendeleo huwa wakati mwingine yanakuja na vikwazo sababu wakazi wa maeneo ya Ubungo mpaka Mbezi mwisho walichukia kubomolewa nyumba zao pamoja na kuwa zilikuwa ndani ya hifadhi ya barabara.
Rais Magufuli amesema sheria ni Msumeno ndio maana hata jengo la Serikali ambalo ni mali ya Tanesco lilivunjwa japokuwa aliyekuwa waziri mkuu kipindi cha awamu ya nne ndugu Mizengo Pinda hakuamini kama litakuja kuvunjwa.
My take: Wakazi wa Dar es Salaam waambieni watoto wenu wasichague kazi. Kutwa wanashinda vijiweni wanajadili habari za Simba na Yanga,Diamond na Zari huku wakibweteka. Miaka ya nyuma mtu unapiga deiwaka ya udereva teksi huku unasoma.
Akiwa UDSM tayari alishakuwa Mwalimu.Rais Magufuli ametoa siri hiyo leo wakati akizindua daraja la la Ubungo lililopewa jina la Kijazi Interchange.
Rais Magufuli amedai kuwa alipokuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam alikuwa akipiga kibarua cha kuendesha teksi bubu ili ajipatie chochote kitu. Na kituo alichokuwa anapaki ni jirani na lilipojengwa daraja hilo la juu mahsusi kupunguza foleni.
Rais Magufuli amesema kazi ya urais ni ngumu sana maana pamoja na kuwa na hamu ya kuendesha gari lakini huwa anakatazwa na kuzuiliwa.
Mbali ya hayo rais wa JMT amesema kuwa maendeleo huwa wakati mwingine yanakuja na vikwazo sababu wakazi wa maeneo ya Ubungo mpaka Mbezi mwisho walichukia kubomolewa nyumba zao pamoja na kuwa zilikuwa ndani ya hifadhi ya barabara.
Rais Magufuli amesema sheria ni Msumeno ndio maana hata jengo la Serikali ambalo ni mali ya Tanesco lilivunjwa japokuwa aliyekuwa waziri mkuu kipindi cha awamu ya nne ndugu Mizengo Pinda hakuamini kama litakuja kuvunjwa.
My take: Wakazi wa Dar es Salaam waambieni watoto wenu wasichague kazi. Kutwa wanashinda vijiweni wanajadili habari za Simba na Yanga,Diamond na Zari huku wakibweteka. Miaka ya nyuma mtu unapiga deiwaka ya udereva teksi huku unasoma.