Rais Magufuli: Niliwahi kuwa dereva wa teksi bubu

Mimi nilikuwa naenda ziwani kuvua dagaa wakati nikiwa mtumishi wa Umma....nilidhani navunja rekodi kabla sijakutana na mwalimu wa sekondari ya serikali (A level) akiwa mchimbaji mdogo wa dhahabu....anaingia shimoni usiku kesho yake asubuhi yupo zake class!
Uzi huu umenifanya niamini kwanini JF imejaa watu wa kulalamika na kukosoa tangu jua linachomoza hadi wanaenda kulala!
 
My take: Wakazi wa Dar es Salaam waambieni watoto wenu wasichague kazi. Kutwa wanashinda vijiweni wanajadili habari za Simba na Yanga,Diamond na Zari huku wakibweteka. Miaka ya nyuma mtu unapiga deiwaka ya udereva teksi huku unasoma.
Na hiki ndicho kilema kikubwa kwenye kizazi hiki, wakati wengine wakikesha kutafuta maisha wengine wanakesha kwenye mijadala ya Simba na Yanga, leo Diamond ametoka na gari nyekundu and the like, sijui ni nani atakuja pindua hizo fikra
 
FIX 🤨🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…