Rais Magufuli njoo vyuo vikuu ujionee. Manunuzi ya magari ni suala pana kuliko linavyotajwa mbele yako

Rais Magufuli njoo vyuo vikuu ujionee. Manunuzi ya magari ni suala pana kuliko linavyotajwa mbele yako

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Huko Geita Mkurugenzi kasimamishwa kazi. Ni safi sana! Sababu ziko wazi. Pesa za CSR haziwezi kuwa za gari la Mkurugenzi, wakati Shule, Hospitali na Madaraja ni hovyo. Mbaya zaidi ni gari la milioni 400! Tatizo hili liko kote! Hiyo ofisi ya waziri mkuu inayopitisha vibali kama hivyo ina udhaifu wa kudumu na ni sehemu ya rushwa za manunuzi.

Hata vyuo vikuu kila leo kuna magari ya kifahari yananunuliwa kwa ajili ya viongozi wakati vyuo hivi haviwezi hata kulipa pesa za likizo za wafanyakazi, hawawezi kuboresha mazingira ya kusomea, hawawezi kujenga nyumba za wanafunzi. Rais Magufuli, tembelea UD, tembelea SUA, nenda UDOM, Mzumbe, Muhimbili, kote kuna magari ya aina hii yamenunuliwa kwa kipindi hiki.

Kama vyuo vikuu wako hivyo, unategemea nini kwenye Halmashauri kwa madiwani? Wakurugenzi hawa wamesoma vyuo hivi visivyojua nini muhimu kuliko kingine na rushwa zao. Ni vyuo hivi hivi vilivyokuwa vinaiba pesa za wanafunzi kupitia bodi ya mikopo. Bahati mbaya sana, wanaachwa bila kuchukuliwa hatua. Hawa ndo wnaojenga tabia ya waajiliwa wa baadaye.
 
Tatizo Mh.Rais huwa anashughulikia tatizo kwa kuangalia mtu au kikundi.

Alitakiwa ashughulikie tatizo hili kimfumo na siyo ki mtu au kisehemu.

Office iliyotumiwa ni office ya waziri mkuu, ambae ni msaidizi wake mkuu. Hatujasikia maelekezo ya hadharani kutoka kwake kama alivyotoa ya wafanyakazi wa TMA na Mkurugenzi wa Geita.

Mi nadhani kuna double standard katika kushughulikia matatizo ya nchi hii.
 
Tatizo Mh Rais huwa anashughulikia tatizo kwa kuangalia mtu au kikundi.

Alitakiwa ashughulikie tatizo hili kimfumo na siyo ki mtu au kisehemu.

Office iliyotumiwa ni office ya waziri mkuu, ambae ni msaidizi wake mkuu. Hatujasikia maelekezo ya hadharani kutoka kwake kama alivyotoa ya wafanyakazi wa TMAA na Mkurugenzi wa Geita.

Mi nadhani kuna double standard katika kushughulikia matatizo ya nchi hii.
Double standard ndio sifa ya serikali ya Magufuli.. Hii serikali ingekuwa ya CCM haya mambo msingeona asilani.
 
Tatizo Mh Rais huwa anashughulikia tatizo kwa kuangalia mtu au kikundi.

Alitakiwa ashughulikie tatizo hili kimfumo na siyo ki mtu au kisehemu.

Office iliyotumiwa ni office ya waziri mkuu, ambae ni msaidizi wake mkuu. Hatujasikia maelekezo ya hadharani kutoka kwake kama alivyotoa ya wafanyakazi wa TMAA na Mkurugenzi wa Geita.

Mi nadhani kuna double standard katika kushughulikia matatizo ya nchi hii.

Jiwe huwa anatengeneza matukio yule
kwanza hili aliloleta mleta mada naamini jiwe analijua
 
Sheria inasemaje? Huko vyuo vikuu wanaruhusiwa au hawaruhusiwi kununua magari ya hadhi hiyo? Kama wanaruhusiwa kosa liko wapi? Kama hadi Ofisi ya Waziri Mkuu imeridhia manunuzi hayo tatizo sio mnunuzi tatizo ni sheria na kanuni!

Hayo ndio matokeo ya watu kwenda Bungeni kugonga meza bila kujua kinachojadiliwa kinahusu nini na nini madhara yake kwa siku zijazo. Watu wakipiga kelele wanafukuzwa Bungeni; wanaondolewa majimboni; na wanabezwa "walikuwa wanatuchelewesha". CCM kwa asili yake haijawahi kuwa rafiki wa taifa hili hata chembe; zaidi ni hadaa za kisiasa ili wandelee kufaidi keki ya taifa wao na vizazi vyao.
 
... sheria inasemaje? Huko vyuo vikuu wanaruhusiwa au hawaruhusiwi kununua magari ya hadhi hiyo? Kama wanaruhusiwa kosa liko wapi? Kama hadi Ofisi ya Waziri Mkuu imeridhia manunuzi hayo tatizo sio mnunuzi tatizo ni sheria na kanuni!

Hayo ndio matokeo ya watu kwenda Bungeni kugonga meza bila kujua kinachojadiliwa kinahusu nini na nini madhara yake kwa siku zijazo. Watu wakipiga kelele wanafukuzwa Bungeni; wanaondolewa majimboni; na wanabezwa "walikuwa wanatuchelewesha". CCM kwa asili yake haijawahi kuwa rafiki wa taifa hili hata chembe; zaidi ni hadaa za kisiasa ili wandelee kufaidi keki ya taifa wao na vizazi vyao.
Ndio ukweli wenyewe
nasema uongo ndugu zangu
[emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28]
 
Yule mara nyingi hutoa "order" zake kwasababu ya jeuri tu, lakini sio kwa lengo pana la kutatua tatizo kwa ujumla.

Ameona akomae na mishahara kwasababu alijua anaenda kuharibu mfuko wa mtu fulani personally, akiona kila mtu taifa zima analia njaa ndio furaha yake.
 
Hili suala la V8 ni mzigo mzito kwa serikali. Nlitarajia kwa jinsi mheshimiwa anavyopenda kubana matumizi angeanza na hili alipoingia madarakani lakini hili kalifumbia macho. Ni ukweli kuwa hii idara ya manunuzi serikalini inatumia pesa kwa kufuja sana.

Hivyo vyuo vilivyotajwa hapo juu ni mfano tu lakini vyuo vyote vya serikali, vya juu na vya kati hali ni hiyo hiyo. Kuna matumizi mabaya ya pesa za umma kwenye suala la manunuzi na magari yasiyo na tija yananunuliwa tena kwa kulazimisha.
 
... sheria inasemaje? Huko vyuo vikuu wanaruhusiwa au hawaruhusiwi kununua magari ya hadhi hiyo? Kama wanaruhusiwa kosa liko wapi? Kama hadi Ofisi ya Waziri Mkuu imeridhia manunuzi hayo tatizo sio mnunuzi tatizo ni sheria na kanuni!

Hayo ndio matokeo ya watu kwenda Bungeni kugonga meza bila kujua kinachojadiliwa kinahusu nini na nini madhara yake kwa siku zijazo. Watu wakipiga kelele wanafukuzwa Bungeni; wanaondolewa majimboni; na wanabezwa "walikuwa wanatuchelewesha". CCM kwa asili yake haijawahi kuwa rafiki wa taifa hili hata chembe; zaidi ni hadaa za kisiasa ili wandelee kufaidi keki ya taifa wao na vizazi vyao.
Umemaliza yote. Mtu yeyote anakandamiza upinzani, anayefungia magazeti hawezi kufanikiwa kamwe kwenye kupambana na ufisadi. Hizo ndio outlets za habari za kifisadi sasa bila hapo habari utazipataje? na hapo ndipo ninapotilia shaka dhamira ya dhati ya kupambana na ufisadi kama kweli ni kipaumbele cha awamu hii.
 
Yule mara nyingi hutoa "order" zake kwasababu ya jeuri tu, lakini sio kwa lengo pana la kutatua tatizo kwa ujumla.

Ameona akomae na mishahara kwasababu alijua anaenda kuharibu mfuko wa mtu fulani personally, akiona kila mtu taifa zima analia njaa ndio furaha yake.

Uko sawa mkuu! Kuna mtu amelengwa hapo. Maana km tatizo nihilo alitakiwa alishughulikie kimfumo. Maana siyo hao tu wanaohamishwa wanaenda na mishahara yao.
 
Na wewe kwa akili yako unadhani alichoongea Magu ni kuwaonea huruma hao wanyonge wake? Jibu ni hapana alilazimika kufanya aliyoyafanya ya kumtoa kafara DED kwa vile ishu yake ilienda public na kuwagutusha watu kwamba kumbe viongozi wa serikali wanatumia kodi vibaya kwa kununua magari ya kifahari na yanayotumia pesa nyingi kuyahudumia.Magari ya aina ile yako mengi tu kwa viongozi wa taasisi na serikali.

Mgogoro wa DED na mbunge ndio umeleteleza yote haya,so rais akaona ili aonekane anafanya kazi ya kuwatetea wanaojiita wanyonge ikabidi amtoe kafara huyo DED kwa kusema aliyoyasema lakini anajua kwamba ununuzi umepitia hatua zote na magari ya hivyo au zaidi yako mengi sana serikalini,tena wadau walitaja baadhi ya halmashauri zenye aina hiyo ya magari.

Ukitaka kuwa mjinga basi muamini mwanasiasa,hao kazi yao kubwa ni unafiki
 
Huko Geita Mkurugenzi kasimamishwa kazi. Ni safi sana!! Sababu ziko wazi. Pesa za CSR haziwezi kuwa za gari la Mkurugenzi, wakati shule hospitali na madaraja ni hovyo. Mbaya zaidi ni gari la milioni 400! Tatizo hili liko kote! Hiyo ofisi ya waziri mkuu inayopitisha vibali kama hivyo ina udhaifu wa kudumu na ni sehemu ya rushwa za manunuzi.

Hata vyuo vikuu kila leo kuna magari ya kifahari yananunuliwa kwa ajili ya viongozi wakati vyuo hivi haviwezi hata kulipa pesa za likizo za wafanyakazi, hawawezi kuboresha mazingira ya kusomea, hawawezi kujenga nyumba za wanafunzi. Rais Magufuli, tembelea UD, tembelea SUA, nenda UDOM, Mzumbe, Muhimbili, kote kuna magari ya aina hii yamenunuliwa kwa kipindi hiki.

Kama vyuo vikuu wako hivyo, unategemea nini kwenye halmashauri kwa madiwani? Wakurugenzi hawa wamesoma vyuo hivi visivyojua nini muhimu kuliko kingine na rushwa zao. Ni vyuo hivi hivi vilivyokuwa vinaiba pesa za wanafunzi kupitia bodi ya mikopo. Bahati mbaya sana, wanaachwa bila kuchukuliwa hatua. Hawa ndo wnaojenga tabia ya waajiliwa wa baadaye.
Bajeti ya utengenezaji magari Serikalini. Unanunua gari mpya tano

Only NHIF ndo Wana policy nzuri

Kwa kweli afike na huko

Maendeleo hayana vyama
 
... sheria inasemaje? Huko vyuo vikuu wanaruhusiwa au hawaruhusiwi kununua magari ya hadhi hiyo? Kama wanaruhusiwa kosa liko wapi? Kama hadi Ofisi ya Waziri Mkuu imeridhia manunuzi hayo tatizo sio mnunuzi tatizo ni sheria na kanuni!

Hayo ndio matokeo ya watu kwenda Bungeni kugonga meza bila kujua kinachojadiliwa kinahusu nini na nini madhara yake kwa siku zijazo. Watu wakipiga kelele wanafukuzwa Bungeni; wanaondolewa majimboni; na wanabezwa "walikuwa wanatuchelewesha". CCM kwa asili yake haijawahi kuwa rafiki wa taifa hili hata chembe; zaidi ni hadaa za kisiasa ili wandelee kufaidi keki ya taifa wao na vizazi vyao.
Umenena vema mkuu, kupanga ni kuchagua,wabunge wa sifa na mapambio. Hata msafara wa mkuu wakati wa kampeni magari yale nisawa visima virefu 10M @ Gari moja lipe 250M ; Gari moja visima 25x 30= 750 visima, mambo ya ajabu sana watu bado hawana maji,unapita na visima msafara visima 750!!! Hapo bado garama wasanii ,mabango nk
 
Back
Top Bottom