Rais Magufuli njoo vyuo vikuu ujionee. Manunuzi ya magari ni suala pana kuliko linavyotajwa mbele yako

Rais Magufuli njoo vyuo vikuu ujionee. Manunuzi ya magari ni suala pana kuliko linavyotajwa mbele yako

Kama serikali ina nia kweli ya kubana matumizi kwanini hii miaka 5 iliyopita imeshindwa kupiga marufuku manunuzi ya magari ya kifahari?

Kuna ulazima wowote ule wa DAS/RAS/DED/DC/RC kutumia haya magari ya gharama waliyo nayo sasa hivi?
Mimi nilidhani kuwa tunachojadili hapa ni kuhusiana na zuio la kununua magari ya aina hii, au? Still, si kila ofisa haruhusiwi kutumia gari za aina hii, wapo wengi tu ambao wanaruhusiwa na hivyo kununuliwa lazima yaendelee kununuliwa. Labda uwashauri sasa Serikali waache kabisa kutumia magari ya aina hiyo, wa-switch kwenye model nyingine ambayo pengine unaweza kuipendekeza, ambalo sasa litakuwa ni jambo jingine kabisa. Issue siyo kwamba hayaruhusiwi hapana, yanaruhusiwa isipokuwa kuanzia ngazi fulani kwenda juu
 
Mimi nilidhani kuwa tunachojadili hapa ni kuhusiana na zuio la kununua magari ya aina hii, au? Still, si kila ofisa haruhusiwi kutumia gari za aina hii, wapo wengi tu ambao wanaruhusiwa na hivyo kununuliwa lazima yaendelee kununuliwa. Labda uwashauri sasa Serikali waache kabisa kutumia magari ya aina hiyo, wa-switch kwenye model nyingine ambayo pengine unaweza kuipendekeza, ambalo sasa litakuwa ni jambo jingine kabisa. Issue siyo kwamba hayaruhusiwi hapana, yanaruhusiwa isipokuwa kuanzia ngazi fulani kwenda juu
Ipi ni sababu ya msingi ya DAS/RAS/DED/DC/RC kutumia magari yale ya kifahari?Kwani wakitumia 78 series hardtop kuna shida?

Serikali ingekua ina nia ya dhati ya kubana matumizi ingebadili sheria hizo za manunuzi lkn sababu tuna mapesa mengi acha tuendelee tu kutumia magari hayo ya kifahari.
 
Double standard ndio sifa ya serikali ya Magufuli.. Hii serikali ingekuwa ya CCM haya mambo msingeona asilani.
Hiyo CCM kabla ya Magufuli ilikuwa imeoza kwa tabia ya kubebana na matumizi mabaya.

Tena usituambie tena habari za CCM.
CCM kama CCM yenyewe bila mtu sahihi pale juu ni janga kwa taifa.
 
Lectures wanakua na magari ya kifahari ili wawarubuni watoto wa watu. Msieeeeeeew zao.
Magu njoo na vyuon utumbue huku, hasa UD
 
Tatizo Mh Rais huwa anashughulikia tatizo kwa kuangalia mtu au kikundi.

Alitakiwa ashughulikie tatizo hili kimfumo na siyo ki mtu au kisehemu.

Office iliyotumiwa ni office ya waziri mkuu, ambae ni msaidizi wake mkuu. Hatujasikia maelekezo ya hadharani kutoka kwake kama alivyotoa ya wafanyakazi wa TMAA na Mkurugenzi wa Geita.

Mi nadhani kuna double standard katika kushughulikia matatizo ya nchi hii.

Hilo la double standard ndio unalioongelea leo? Mbona toka wakati wa vyeti fake tulisema? Kwenye vita vya ufisadi tuliona double standard ya hali ya juu, huku akiwaacha wanaccm wenzake.
 
Umenena vema mkuu, kupanga ni kuchagua,wabunge wa sifa na mapambio. Hata msafara wa mkuu wakati wa kampeni magari yale nisawa visima virefu 10M @ Gari moja lipe 250M ; Gari moja visima 25x 30= 750 visima, mambo ya ajabu sana watu bado hawana maji,unapita na visima msafara visima 750!!! Hapo bado garama wasanii ,mabango nk

Hili jambo nimelisema jana, kwamba kama matumizi mabaya ya fedha za umma, basi rais anapaswa kutumbuliwa kwanza. Hilo la ulinzi wake nikasema ni kufuru ya hali ya juu maana ana ulinzi usioendana na hali ya usalama nchini. Tungekuwa na bunge la kweli lingehoji matumizi hayo ya kufuru.
 
Ok...labda ni Gari la aina gani na kwa gharama ipi unaona ingemfaa huyo mkurugenzi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sijui kwa nafasi yake anastahili gari gani lakini am sure sio VX-R. Kwa Tanzania hiyo ndio Land Cruiser ya kiwango cha juu kabisa. In short, kwa protocol haiwezekani mkurugenzi wa halmashauri atembelee gari kama la waziri
 
Huko Geita Mkurugenzi kasimamishwa kazi. Ni safi sana!! Sababu ziko wazi. Pesa za CSR haziwezi kuwa za gari la Mkurugenzi, wakati shule hospitali na madaraja ni hovyo. Mbaya zaidi ni gari la milioni 400! Tatizo hili liko kote! Hiyo ofisi ya waziri mkuu inayopitisha vibali kama hivyo ina udhaifu wa kudumu na ni sehemu ya rushwa za manunuzi.

Hata vyuo vikuu kila leo kuna magari ya kifahari yananunuliwa kwa ajili ya viongozi wakati vyuo hivi haviwezi hata kulipa pesa za likizo za wafanyakazi, hawawezi kuboresha mazingira ya kusomea, hawawezi kujenga nyumba za wanafunzi. Rais Magufuli, tembelea UD, tembelea SUA, nenda UDOM, Mzumbe, Muhimbili, kote kuna magari ya aina hii yamenunuliwa kwa kipindi hiki.

Kama vyuo vikuu wako hivyo, unategemea nini kwenye halmashauri kwa madiwani? Wakurugenzi hawa wamesoma vyuo hivi visivyojua nini muhimu kuliko kingine na rushwa zao. Ni vyuo hivi hivi vilivyokuwa vinaiba pesa za wanafunzi kupitia bodi ya mikopo. Bahati mbaya sana, wanaachwa bila kuchukuliwa hatua. Hawa ndo wnaojenga tabia ya waajiliwa wa baadaye.
[emoji848][emoji848]assume wewe ndo umenunuliwa Hilo gari afu usikie taarifa hii
 
Sijui kwa nafasi yake anastahili gari gani lakini am sure sio VX-R. Kwa Tanzania hiyo ndio Land Cruiser ya kiwango cha juu kabisa. In short, kwa protocol haiwezekani mkurugenzi wa halmashauri atembelee gari kama la waziri
Unafikiri ni halmashauri yake tu ndiyo Wana hiyo Gari?
Kingine unafikiri kutonunua Gari hizo huko geita ndiyo Wata solve matatizo kadhaa
Kama gharama ya hizo Gari iendane na halmashauri na wizara zote wapige stop kuzichukua kama kuchukua wachukue kwa ajili ya mawaziri na manaibu?hapo sasa kuna tatizo lingine litatokea kibiashara kati ya Toyota na tanzania

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Huko Geita Mkurugenzi kasimamishwa kazi. Ni safi sana!! Sababu ziko wazi. Pesa za CSR haziwezi kuwa za gari la Mkurugenzi, wakati shule hospitali na madaraja ni hovyo. Mbaya zaidi ni gari la milioni 400! Tatizo hili liko kote! Hiyo ofisi ya waziri mkuu inayopitisha vibali kama hivyo ina udhaifu wa kudumu na ni sehemu ya rushwa za manunuzi.

Hata vyuo vikuu kila leo kuna magari ya kifahari yananunuliwa kwa ajili ya viongozi wakati vyuo hivi haviwezi hata kulipa pesa za likizo za wafanyakazi, hawawezi kuboresha mazingira ya kusomea, hawawezi kujenga nyumba za wanafunzi. Rais Magufuli, tembelea UD, tembelea SUA, nenda UDOM, Mzumbe, Muhimbili, kote kuna magari ya aina hii yamenunuliwa kwa kipindi hiki.

Kama vyuo vikuu wako hivyo, unategemea nini kwenye halmashauri kwa madiwani? Wakurugenzi hawa wamesoma vyuo hivi visivyojua nini muhimu kuliko kingine na rushwa zao. Ni vyuo hivi hivi vilivyokuwa vinaiba pesa za wanafunzi kupitia bodi ya mikopo. Bahati mbaya sana, wanaachwa bila kuchukuliwa hatua. Hawa ndo wnaojenga tabia ya waajiliwa wa baadaye.
Usilinganishe walimu wa vyuo vikuu na mkuu wa mkoa. Hao watu wanakula kwa jasho lao wenyewe. Wengine wanafundisha vyuo mbalimbali part time wengine wanafanya project usiwalinganishe na watu walioteuliwa wakiwa maskini kesho unawaona tajiri
 
Umenena vema mkuu, kupanga ni kuchagua,wabunge wa sifa na mapambio. Hata msafara wa mkuu wakati wa kampeni magari yale nisawa visima virefu 10M @ Gari moja lipe 250M ; Gari moja visima 25x 30= 750 visima, mambo ya ajabu sana watu bado hawana maji,unapita na visima msafara visima 750!!! Hapo bado garama wasanii ,mabango nk
mpaka sasa hv ile timu nzima ya wasanii inakuuma si poa.
 
Usilinganishe walimu wa vyuo vikuu na mkuu wa mkoa. Hao watu wanakula kwa jasho lao wenyewe. Wengine wanafundisha vyuo mbalimbali part time wengine wanafanya project usiwalinganishe na watu walioteuliwa wakiwa maskini kesho unawaona tajiri
Kama hujui kinachojadiliwa kwa nini huendi shuleni? Kinachojadiliwa ni gari la serikali kwa pesa za serikali. Kufundisha vyuo mbalimbali kumetoka wapi? Fisi maji wee!
 
Kama sheria inawaruhusu kununua magari, kwa nini msinunue toyota kama hizi, halaf chenji ikibaki mnanunua hata dawa mahospitalini, zingine mnajengea viwanda?
 

Attachments

  • tmp-cam-1676111420.jpg
    tmp-cam-1676111420.jpg
    6.1 KB · Views: 1
  • tmp-cam--1956173261.jpg
    tmp-cam--1956173261.jpg
    7.9 KB · Views: 1
Hawa NHIF wanaoshirikiana na dispensaries kulipa malipo ya tiba isiyokuwepo? Kwa ujumla hapa tuzungumze udhaifu wa taaisisi bila kujali ni kununua magari au la. Wengine hadi leo wanafanaya sherehe za mamilioni kuaga viongozi. Hiyo niliisikia kule SUA! Hicho ni chuo kikuu, lakini kinatumia mamilioni kuaga viongozi!
SUA walipokuwa wanachangishana kwa ajili ya kujisaidia katika matatizo yao! wala hamkusema, sasa wanalipana kwa kadri ya makubaliano yao mnakuja hapo kulalamika, hizo ni hela zao wenyewe sio za serikali kama mnavyodhania!! Acha waagane baada ya kuishi pamoja katika eneo la kazi !!!
 
Unafikiri ni halmashauri yake tu ndiyo Wana hiyo Gari?
Kingine unafikiri kutonunua Gari hizo huko geita ndiyo Wata solve matatizo kadhaa
Kama gharama ya hizo Gari iendane na halmashauri na wizara zote wapige stop kuzichukua kama kuchukua wachukue kwa ajili ya mawaziri na manaibu?hapo sasa kuna tatizo lingine litatokea kibiashara kati ya Toyota na tanzania

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mbona hili jambo ni jepesi lakini watu wanalifanya gumu.... ni rahisi sana. Kila ngazi serikalini ina stahili zake, haiwezekani mkurugenzi wa wilaya akatembea na gari sawa na Waziri. Angenunua gari la kawaida, asingepata hii misukosuko. Hapo ndipo alipokosea.
 
Kama sheria inawaruhusu kununua magari, kwa nini msinunue toyota kama hizi, halaf chenji ikibaki mnanunua hata dawa mahospitalini, zingine mnajengea viwanda?
Hizi hazijakaa kibosi zimekaa kikazi zaidi
V8 bwana ukikaaa ndani unajitanuaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom