Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Kwenye swala la Corona acheni ujinga mwingi,wala usifikiri sana juu ya alichosema Rais iwapo hukubali, isipokua fanya uchunguzi wako binafsi tu utagundua Corona imekaa kisanii hata kama janga lipo,binafsi nimetafakari sana hata kabla ya Rais hajasema haya leo (unaweza thibitisha kwa kuangali comment zangu humu). Ukweli ni kwamba ugonjwa upo,lakini hautuwezi waTanzania kiivyo kama maneno mengi ya watu yalivyo jaa,fanya uhakiki wa wewe mwenyewe na ndugu zako,majirani zako,marafiki zako mikoani kote, utakuta hakuna hata mmoja ameondoka na Corona,maneno yaliyojaa mitandaoni lazima yatakua ni ya wana siasa wenye uchu wa mamlaka wakipewa vihela na makaburu kuweka taharuki na kujaribu kitujengea ugonjwa mwingine wa hofu,swala ni dogo tu,mitaani kwetu vifo vya hiyo Corona viko wapi? Tusilazimishe jaribu la wazungu liwe letu kwa kukubali mshituko wao kwa 100% hii ni mbaya,sisi wenyewe waafrika tuna jaribu letu ambalo wao wazungu hawana na hatuwezi kuwalazimisha wabebe mizigo yetu kama umasikini na majanga mengi tu,sasa kwa nini sisi tubebe jaribu lao? Ukweli hakuna vifo zaidi ya vile vilivyo tangazwa tena na vyenyewe vimewapata watu waliokua na magonjwa mengine,msitutishe kama vipi hameni nchi au dunia hii kwenda mnakoona kutakua salama kwenu. Sisi wengine tumesha gundua janga hili kwetu limedunda,ila tuna janga la Malaria,Cancer,magonjwa ya moyo na umasikini tu. Kwisha, kama hutaki pita hivi[emoji117]
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?

ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.

Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Inawezekana kabisa Tanzania hakuna corona ni mabeberu tu wanataka kutuaminisha kuna corona...hata hawa wanaopata changamoto za kupuma ni mabeberu ndio wanasababisha
Nilivyomwelewa, japo sikubaliani naye ni kwamba kwa utafiti wao wa kupima mapapai, mafenesi, mbuzi, kitimoto , oil nk. Maabara zetu vipimo vyake vinadanganya! Kwa hiyo anaamini hatuna wagonjwa wengi, wapo kiduchu tu kwani kama mafenesi yametest positive kuna uwezekano wa wasio na virus nao kuonekana wanavyo!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hiyo avatar ni wewe basi nakuombea korona isikuje kwako [emoji4][emoji4][emoji4]
Mimi natake measures zote kama Magufuli anavyofanya binafsi. Kanisani siendi. Sitoki hovyo hovyo. Hapa kwangu sitaki wageni kabisa.Mimi najikinga na ninamuomba Mungu anilinde pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natake measures zote kama Magufuli anavyofanya binafsi. Kanisani siendi. Sitoki hovyo hovyo. Hapa kwangu sitaki wageni kabisa.Mimi najikinga na ninamuomba Mungu anilinde pia.
😛 😛 mimi huku niliko nimewekwa lock-down kabisa, nikirudi huko bongo lazma nikutafte
 
Jamani hilo la hivyo vifaa hasa from China hata nchi zingine zilizoendelea na zenyewe zilionesha kwamba only 30% ya vifaa kutoka China ndio vilikua bora but 70% vilikua feki so binafsi wala sikushangaa cause hizo fununu zilikuwepo even before hatuja confirm
 
Ni jambo jema hukumwelewa maana katika mengi aliyoyesema umenukuu yale unayotaka kama ushahidi wa hisia zako hasi.

Ameendelea kusisitiza kuwepo kwa ugonjwa ambao ni hatari.

Ametoa tahadhari kuhusu vipimo kama vinaaminika au wapimaji hawako makini kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kununuliwa.

Amekumbusha umhimu wa kuzingatia ushauri unaotolewa kila mara kujikinga dhidi ya maambukizi.

Mwisho natoa wito kwako na wenye kubeza juhudi za Serikali: Uzembe, jeuri na hofu yako vitakuangamiza ama kwa njaa au kwa korona
Na wewe hujamuelewa mh, mwanzo alisema kaugonjwa ni kadogo wewe unasema ugonjwa ni hatari
 
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?

ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.

Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?

Huwezi muelewa unless uwe umesomea psychiatric studies
 
Rais ni kama sisi tunavyowahiana kupost. Akaona apost fasta kupata likes
 
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?

ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.

Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
Taratibu nzuri za kimaabara za ku- confirm results za maabara no kuvhukua retained sample na ku-test kwenye maabara nyingine
 
Back
Top Bottom