Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama
 
Kabisa ,siasa za ulaghai, kuonewa huruma na majitaka ziwe mwisho na wasiishie kusoma namba za kawaida tu wasome mpaka namba hasi
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Juzi kanda ya kaskazini (manyara) mwana lumumba kavunja "UMOJA WA WATU WA KILIMANJARO" (Umoja wa watu wa kaskazini), na amesema hataki kusikia maswala ya umoja huo.

Songwe mwezi uliopita "ADMINI MEKU" aliombwa serikali iwavutie maji kijiji na mwanamke mtu mzima, jibu aliopewa aende akamuombe "MUME WAKE, DIWANI WAKE au MBUNGE WAKE", akiashiria akaombe viongozi wa upinzani waliowachagua eneo hilo (bila ya kujua kama mama huyo ni mwana CCM au MPINZANI).

Kanda ya ziwa leo "MEKU" anasifia maswala ya umoja wao, sambamba akisifia na kutoa pongezi kwa ushindi mkubwa wa CCM.

* Kanda ya Kaskazini marufuku umoja, Kanda ya Ziwa ruhusa na pongezi kwa umoja, Kanda ya Kusini-Magharibi kaombeni misaada wapinzani mliowachagua na umoja wenu.

* Umoja wetu tanzania ndio huo kwenye "SPEECH" ni umoja madhubuti, ila kwenye uhalisia (practical) viongozi hawaoneshi umoja na wanaonesha matabaka wazi wazi na kuambatana na chuki dhahiri.

Unapovunja Umoja wa raia una "ASISI" kitu gani kama sio "DIVISION OF UNION" hata raia wasiwe na umoja wa kusaidiana, kushauriana na kuelimishana pindi mmoja wao anapopatwa na tatizo/shida. Raia wawe na matabaka ya mimi CCM nitasaidiwa, wewe MPINZANI hautasaidiwa.

#Watanzania sijui viongozi wetu wanatuona ni wapumbavu kiasi gani. Sijui mpaka lini wataacha kuchezea akili za raia wanyonge.
 
Anacho kisema na anacho kifanya ni paka na panya
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama
 
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama
Confused head.
 
Hapo nampinga Raisi wetu, kutaka kumiliki Mji wako uliovamiwa na watu ambao siyo asili ya hapo siyo Ubaguzi bali ni lazima. Binafsi nisingependa wenyeji watawaliwe na wageni kama ilivyo Arusha City, hivyo kuutaka Mji wako siyo Ubaguzi bali ndivyo inavyopaswa kuwa.
 
Uzuli wa ndugu CHATLE anacheza na akili za WANYONGE wake,anawageuzageuza kama kifulushi cha pinduapindua,kwa UNYONGE wao wanaambulia vijinguo vya rangi ya SENENE, wanajisahaulisha shida zao.Wanyonge ni watu wa ajabu sana,hutakiwi kuwaonea huruma hata kidogo.
 
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama
Mbaguzi namba moja wa taifa
 
Basi kama ni kweli amwambie mteule wake mnyeti atengue ile kauli yake
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama
 
Back
Top Bottom