Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

Kwanza ,itasaidia Maxene Melo kutokwenda mahakamani Mara kwa Mara.

Pili, itasaidia matusi na hoja mseto kupotea

Tatu, inasaidia kuleta heshima hapa jukwaani na wote waliokuwa wanatukana kwa kutegemea hawajulikani watajulakana
Hahahahaha too low
 
Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa.

Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza.

Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa Misungwi kwa ushindi mkubwa walioupata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kuwaambia Wapinzani wataendelea kuisoma namba.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama

Yeye ndo muasisi wa ukabila ukanda na udini
 
Contradictory statement!

Washangiliaji wa hizi statement endeleeni tu muda si mrefu yatatukuta ya Rwanda Burundi Kenya
 
Back
Top Bottom