Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

Namuunga mkono raisi hatuwezi kushindwa kuwalea watoto wetu wa kike alafu tuachwe tu
Ukishika mimba olewa uliipenda ngono kakae kwa mwanaume siyo urudi darasani
 
Ni kawaidaa yetu WTz kujitoa akili....

Ni sawa na Viongozi wa dini waruhusu na kuchampion matumizi ya Condoms au Utoaji mimba...

What do you expect kitatokea Mtaani..?!??
 
unatoa taarifa polisi within 24 hrs, unapatiwa tiba yavali na unakuwa na documentation, daktari atathibisha kuwa kweli umebakwa

lingine
Baada ya kutoa taarifa ya kubakwa na bahati mbaya akapata ujauzito na kuzaa, je Binti ataendelea na shule kama anahitaji au ndo basi tena? Maana huyo hakujitakia baali ni majanga tu yamemkuta
 
His Excellency The Head of State, si kuna wachungaji hapa.

Tunahitaji Elimu Elimu Elimu. Ushabiki baadae.
 
Nina visa viwili

#1. Kuna binti mmoja alipata ujauzito akiwa kidati cha nne mwanzoni..... Akaenda kufanya Mock kisha NECTA akafaulu kwa kiwango cha div 2...

Akaenda kidato cha Tano.... Huko mbele ya safari sijui aliishia wapi.


#2. Mwingine alirudi shule akafaulu akapangiwa kidato cha Tano Mawenzi Sec .. Akamaliza Kidato cha Sita kisha akaenza Mzumbe akachukua digrii yake lao hii ni mfanyakazi wa Umma.
 
Alirudi shule hiyohiyo !?? Ilikuwa ya serikali!?
 
Inaonekana wanahumu wengi mlisoma/mnasoma mkiwa na u...ja...***t**o
Mhh jaman napita tuuu
 
Mnajitaidi kweli kutafuta anakosea mh mkosoe ila mtahangaika sana ndo mwaka na nusu bado miaka nane na nusu kazi mnayo,mbona kwenye mazuri hamsemi upuuzi upuuzi tu
 
Kwahiyo unataka kusema nini!!??
 
Rais anapokuwa wakwanza kuwanyima watu wake haki yao yakupata elimu basi tupo pabaya sana kama taifa.
Haki ya Elimu ni haki ya Msingi..... Ndio maana ilipoonekana kuwa watu wengi wamekosa hiyo haki ilibidi ianzishwe Elimu ya Watu Wazima

Lengo ni ili nao wapate Elimu
 
Hard science versus social science!!!!! Remmy aliimba "mambo kwa socks" na wimbo ukafungiwa lakini baada ya muda watu wakawa wanahimizwa kuchukua condom za bure!!!
Social science imsaidie Mzee wa Chemistry,wampe ushauri unaostahili.
 
Yani hapa analijibu lile tangazo la Haki Elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…