PAPAKINYI - SJUT 2013
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 367
- 251
nilikuwa natafuta maneno hayo,...ahsante kwa kunisaidia!Magu kwa upande wa vision hamna kabisa anajenga taifa la omba omba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikuwa natafuta maneno hayo,...ahsante kwa kunisaidia!Magu kwa upande wa vision hamna kabisa anajenga taifa la omba omba
Haijalishi sheria ipo kwa mbakaji ni miaka 30 jela.!Inakuwaje pale Binti mwanafunzi akapata mimba baada ya kubakwa!!
Wananchi kumsifia sana kumempa kiburi siku hizi anatema ugoro.
Yaani kafananisha wadada wenye mimba na mashoga? Alafu anajua vizuri akishaleta neno ushoga kwenye jamii ya watanzania atapewa pongezi kubwa maana sijawahi ona watu homophobic kama wabongo.
NGOs anazionea tu, NGO haikufanyi shoga, labda angeongelea sababu nyingine. Kama mtu aliye juu namna hii kichwa kipo hivi basi njia bado ni ndefu zaidi ya tunavyofikiria.
I'm so done with this guy, ana mdomo mbaya sijawahi pata kuona.
Mnapenda mdanganywe sio!! Spade itabaki kuwa spade tu wala sio kijiko kikubwa
Kama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
gani MkuuHata mbuzi hawakosei ile sehemu, nimeipenda hii!
Kabisa hizi NGOs zinamambo ya ajabu kweli ilifika wakati wakawa wanagawa hadi vilainishi eti kuzuia michubuko.!tujifunze na sisi kuwa na mambo yetu, na viwango vyetu vya maadili ambavyo tunavisimamia.
NGO na wafadhili wake ambao wengi ni wazungu wasilazimishe kuleta mambo ambayo sisi hatujaona maana yake.
Asilimia 500% naunga mkono!!Ameyasema hayo leo akiwa Bagamoyo kwenye uzinduzi wa barabara.
"Kwenye utawala wangu siko tayari kuruhusu ujinga kama huu, kama wanaona inafaa basi wafungue shule za wazazi ili huku wakiendelea na masomo waendelee kunyonyesha watoto wao."
Ameongeza kuwa hizo NGOs ndio zimeleta mambo ya ajabu ajabu hadi wanaume kwa wanaume kuingiliana, wanawake kwa wanawake kuingiliana.
"Hata wanyama hawafanyi hivyo mbuzi Ng'ombe huwezi kuwaona wakikosea ile sehemu...Wachungaji si mpo hapa mmewahi kuwaona mbuzi wakikosea au ng'ombe wakikosea"....aliongeza Magufuli.
haina kuchagua wote shule inaishia hapoInakuwaje pale Binti mwanafunzi akapata mimba baada ya kubakwa!!
Ile sehemu......Sehemu
gani Mkuu
Mmh?![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Ameyasema hayo leo akiwa Bagamoyo kwenye uzinduzi wa barabara.
"Kwenye utawala wangu siko tayari kuruhusu ujinga kama huu, kama wanaona inafaa basi wafungue shule za wazazi ili huku wakiendelea na masomo waendelee kunyonyesha watoto wao."
Ameongeza kuwa hizo NGOs ndio zimeleta mambo ya ajabu ajabu hadi wanaume kwa wanaume kuingiliana, wanawake kwa wanawake kuingiliana.
"Hata wanyama hawafanyi hivyo mbuzi Ng'ombe huwezi kuwaona wakikosea ile sehemu...Wachungaji si mpo hapa mmewahi kuwaona mbuzi wakikosea au ng'ombe wakikosea"....aliongeza Magufuli.
Kuna mdau aliwahi kwenda kwenye NGO moja akakuta watu pale hawaeleweki, yaani kama ushogaushoga.. ibadidi akimibie interview kwa sababu ya atmosphere ya eneo husika...Kabisa hizi NGOs zinamambo ya ajabu kweli ilifika wakati wakawa wanagawa hadi vilainishi eti kuzuia michubuko.!