Sioni aliloongea la ajabu katika hotuba yake.Mbona NGOs kwenye mafunzo yao mengine they are even more straight forward, lakini hamuwasemi.Na haya makampuni ya simu yanayotumia mabinti zetu kufanya mambo ya ajabu kwenye majukwaa mbona hamyanyoshei vidole.You will criticize everything unfairly kwa kuwa decision yake ni against your wishes.However the fact is, he is the President,the decision is made,and there is no away you can change it period.Uzuri ni kwamba maamuzi ya wanafunzi wanaopata mimba kutorudi mashuleni ni wish ya Watanzania wengi walio na akili zao timamu.Ninyi deviants hamtusumbui sana,we know you are being used,either kwa kujua au kwa kuto kujua.