Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

sasa veta kuna nn jamani ..ufundi cherehani ndio tutajenga taifa kweli!! wengine wanabakwa shule zipo mbaliii mno.. nguja wanawake wote wawe mafundi nguo kushona tu.. watapewa tenda za kushona neti.[emoji16] [emoji16]
 
Mbina mnavuruga mada kwa makusudi ya chuki? Alichosema nikuwa SERIKALI HAITAWASOMESHA WALOPATA MIMBA SHULENI. Hapa anamaanisha Primary na Sekondari. Hajasema wasisome kwa uwezo wao. Kama wana nguvu ya kujisomesha ni juu yao. Lol.
 
Sioni aliloongea la ajabu katika hotuba yake.Mbona NGOs kwenye mafunzo yao mengine they are even more straight forward, lakini hamuwasemi.Na haya makampuni ya simu yanayotumia mabinti zetu kufanya mambo ya ajabu kwenye majukwaa mbona hamyanyoshei vidole.You will criticize everything unfairly kwa kuwa decision yake ni against your wishes.However the fact is, he is the President,the decision is made,and there is no away you can change it period.Uzuri ni kwamba maamuzi ya wanafunzi wanaopata mimba kutorudi mashuleni ni wish ya Watanzania wengi walio na akili zao timamu.Ninyi deviants hamtusumbui sana,we know you are being used,either kwa kujua au kwa kuto kujua.
Non-sense!!!
You and your president what you are trying to do is just a mental blackmail.

You know nothing except what you believe!!
Get well soon!!
 
Mbina mnavuruga mada kwa makusudi ya chuki? Alichosema nikuwa SERIKALI HAITAWASOMESHA WALOPATA MIMBA SHULENI. Hapa anamaanisha Primary na Sekondari. Hajasema wasisome kwa uwezo wao. Kama wana nguvu ya kujisomesha ni juu yao. Lol.
Wewe ndo unavuruga mada mkuu.
Serikali inawajibu wa kuhakikisha watu wote wanapata frusa sawa Na za kutosha kuwawezesha kupata elimu.

Ndio mana inakusanya kodi inajenga bajeti,inajenga shule, inaajiri walimu,inatunga sera Na mitaala,inaandaa vitabu,inatunga mitihani ya kitaifa,inatoa vyeti,inatoa ajira n.k

Wenye uwezo siku zote huwa hawana ugomvi Na serikali mana watoto wao wanasoma IST,FEZA n.k

Haki inayodaiwa hapa Ni ya wanaotegemea elimu bure/elimu bila malipo watoto wa mtanzania maskini!!!
Mayatima,waliotelekezwa Na kuachwa bila uangalizi katika jamii!!!!
 
Huyu zero apeleke huu ujinga kwao Chato na ndio maana wanaelewana na Bashite maana akili zao ziko sawa
 
Kwanini tunatoa povu kwenye hili swala jamani? Kama unapenda mwanao afanye ngono akiwa shuleni basi mshauri atumie condom, plain and simple.

Mbona wenzetu majuu ndo wanachokifanya na ndo maana hakuna mtoto anapata mimba akiwa shuleni. Tatizo wazee wa kiafrika wanaona ni dhambi kuongea na mwanao kuhusu sex, ni kosa kubwa sana hilo.
 
Pointi yako nzuri ila aina ya uwasilishaji sijaupenda.
 
Kama kawaida ya mzee wa visasi, hivi hajui kuna watu wana chukua masters na tayari wana watoto wenye watoto.

Elimu ni haki ya kila mtu, hata kama mtoto wa sekondari kapata mimba haimaanishi hiyo haki yake inapotea, aendelezwe baadaye aje kuokoa mtoto sio kukaa anaongeza idadi ya wajinga wasio na kazi. Midingi yenye phd feki ndo haiwezi kuliona hili. Tz won't be saved by this guy, he's a joke.
Unamlaumu kana kwamba kaanzisha hili.
 
Back
Top Bottom