Goodluck james
New Member
- Jun 6, 2017
- 4
- 0
KWa mara ya kwanza Nyani Ngabu umempinga mwenyekiti wakoo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Non-sense!!!Sioni aliloongea la ajabu katika hotuba yake.Mbona NGOs kwenye mafunzo yao mengine they are even more straight forward, lakini hamuwasemi.Na haya makampuni ya simu yanayotumia mabinti zetu kufanya mambo ya ajabu kwenye majukwaa mbona hamyanyoshei vidole.You will criticize everything unfairly kwa kuwa decision yake ni against your wishes.However the fact is, he is the President,the decision is made,and there is no away you can change it period.Uzuri ni kwamba maamuzi ya wanafunzi wanaopata mimba kutorudi mashuleni ni wish ya Watanzania wengi walio na akili zao timamu.Ninyi deviants hamtusumbui sana,we know you are being used,either kwa kujua au kwa kuto kujua.
Thankyou.Non-sense!!!
You and your president what you are trying to do is just a mental blackmail.
You know nothing except what you believe!!
Get well soon!!
Wewe ndo unavuruga mada mkuu.Mbina mnavuruga mada kwa makusudi ya chuki? Alichosema nikuwa SERIKALI HAITAWASOMESHA WALOPATA MIMBA SHULENI. Hapa anamaanisha Primary na Sekondari. Hajasema wasisome kwa uwezo wao. Kama wana nguvu ya kujisomesha ni juu yao. Lol.
Kwani kuna ajabu gani kwani waliofungwa sio watu au watanzania?Maneno huumba, hiyo kauli yake ya mwisho asishangae siku ikitimia
Kwani hii ni sheria mpya? Hii ipo Tanzania tokea Uhuru. Utoaji mimba kwanini uongezeke?mmmh kinachofwata kutakuwa na ongezeko kubwa la watoaji mimba.
Kwanini unamlaumu kama yeye ndiye aliyeanzisha?Huyu mzee sijui anawazaga nini kabla ya kuongea. Na wanaowapa ujauzito wasisomeshwe basi.
Unamlaumu kana kwamba kaanzisha hili.Kama kawaida ya mzee wa visasi, hivi hajui kuna watu wana chukua masters na tayari wana watoto wenye watoto.
Elimu ni haki ya kila mtu, hata kama mtoto wa sekondari kapata mimba haimaanishi hiyo haki yake inapotea, aendelezwe baadaye aje kuokoa mtoto sio kukaa anaongeza idadi ya wajinga wasio na kazi. Midingi yenye phd feki ndo haiwezi kuliona hili. Tz won't be saved by this guy, he's a joke.
Uwezekano upo kwa sab sisi wote ni wafungwa watarajiwa.Kumbe anajua km atafungwa!
Atasoma private.Kama alibakwa akapata mimba inakuwaje?