Huyu jamaa aandikiwe hotuba, kumnyima mtu elimu ni kumkatalia haki yake ya kibinadamu yale maazimio tuliyosaini yatawabana watakaotekeleza huu ujinga.
Juzi kawaponza trafiki wawili.
Kukaa kimya ilikua bola zaidi kuliko alichokiongea hakuna anaesarpot wanafunz kuzalishwa wakiwa shule but somebody should not be subjected to life of misery because of such mistake
"Hela za serikali"ikiwa kapata mimba ajisomeshe mwenyewe...wazazi wampeleke shule za Kulipia ila si shule za hela za serikali...
Pamoja mkuu!Nimekuelewa mkuu, ila tatizo linabaki palepale kuukemea ushoga na usagaji bila kuwa na suluhisho na bila kutatua chanzo cha tatizo hilo bado tunakua tunatwanga maji kwenye kinu, swali la msingi ni kwamba je ushoga upo? then tukishakubali upo sasa tujiulize je chanzo chake ni kipi? napia ni kwanini unakua kwa kasi? hapo sasa ndio mbinu na njia za kuzuia au kutibu tatizo hilo zitumike...nadhani tumeelewana.
Kuna potokea tatizo ni vizuri pande zote mbili zi elewa madhara ya hilo kosa/tatizo. Hivyo hawa watoto/wanafunzi bila kujilinda wao wenyewe au kujua madhara ya Hilo kosa basi hatutaweza kukabiliana na matatizo mengine Huko mbeleni.
Hatua za Raisi ni ku discourage Hiyo tabia kwa watoto/wanafunzi wenyewe pamoja na kwa hao ma bazazi na kwa wazazi pia.
Huko nyuma au tofauti na hapo tunakuwa Kama tuna wa encourage hao watoto kwani mwisho wa siku si atarudi shuleni, na mzazi si ndio atamuangalia mjukuu na aliyetenda naye si ndio atasepa Zake na kwenda kutendea wengine au Huyo Huyo siku nyingine.
Hizi kauli za Raisi tusizichukulie kijuu juu.
Maana elimu bila malipo ni sawa sawa na mtaji wa maisha yako ya baadae. Sasa serakali inabana shughuli zingine iliuweze kupata elimu ikusaidie na isaidie taifa wewe , unataka usaidiwe wewe tu bila kujua kuwa nawe sehemu fulani unatakiwa kutoa kwa jamii au serikali kile ulicho pewa Huko nyuma.
What if ikimtokea Dada ako mwanao au pengine hata we ulivokua mdogo ungejiskiaje ???? Ndo maana nkakwambia kukaa kimya ilikua vizuri zaidi pia inatakiwa kuweka mikakat madhubuti ya kuzibiti watoto wadogo kutokutana na vishawishi kama shule za boarding na kutoa elimu ya jamii kuusu kumlinda mtoto Wa kike Over!!!Ukiona wanaotetea hivi ujue ni mabinti wanaopenda kuzini na wanaume wanaopenda kuzini...na kuzini na mabinti wadogo....Nyie mnatetea uzinifu sio ambao hata MUNGU atawahukumu na amewalaani kwa kitendo hicho sio...
Mmegeuka shetani..
Mimi huwa najiuliza tuu hivi huyo mwanafunzi apewe mimba na nani? je mwanafunzi mwenzake au mwalim wake? Binafsi naona kwa kizazi cha siku hiz kuwalegezea utakuta shule inabadilika kuwa zahanati mana wako huruHabari wanaJF,
Leo akiwahutubia wakazi wa Bagamoyo, Mkoani Pwani. Rais Magufuli amesema hakuna Mwanafunzi aliyebeba ujauzito atakayerudi shule katika utawala wake. Akaongeza kuwa hawezi kufanya kazi ya kusomesha wazazi.
" Inaweza kufika kipindi darasa zima linawatoto, Mwalimu akifundisha wao wanatoka nje kwenda kunyonyesha".
Hata kama ni watoto wangu, yani nikupeleke shule alafu upate mimba nikurudishe? Aende akapate mimba aone kama nitamrudisha.
Mimi nimetoa fedha ili mwanafunzi asome bure, halafu leo mtu apate mimba arudi shule? Ndani ya utawala wangu, haitotokea.
Wakati mwingine ukizikiliza hizo NGOs zitakuwa zinalipeleka taifa pabaya. Ndani ya utawala wangu haitotokea. NEVER.
Hizi NGOs kama zinawapenda sana hao watoto zikafungue shule zao za kusomesha wazazi. Serikali haiwezi kuwasomesha.
Hawa wanaotuletea haya mambo hawatupendi ndugu zangu. Wametuletea dawa za kulevya, wameleta ushoga ambao hata ng'ombe hawana.
Huku kuiga iga tutakuja kuiga mambo ambayo hata hayafai. Wanakuja na misaada ambayo ni mali zetu wametuibia.
Nyie wafugaji mmefuga lakini hamjawahi kuona hata mbuzi au nguruwe amekosea huu mchezo. Lakini wao wanataka Watanzania wakosee.
Wakati huo huo, Rais amesema kuwa anawaomba msichukue maeneo ya Magereza, hata mimi nikifungwa siku moja nipate sehemu ya kulima.
Rais Magufuli ametoa eneo la ekari 65 kwa wananchi lililokuwa na mgogoro kati yao na Jeshi la Magereza.
What if ikimtokea Dada ako mwanao au pengine hata we ulivokua mdogo ungejiskiaje ???? Ndo maana nkakwambia kukaa kimya ilikua vizuri zaidi pia inatakiwa kuweka mikakat madhubuti ya kuzibiti watoto wadogo kutokutana na vishawishi kama shule za boarding na kutoa elimu ya jamii kuusu kumlinda mtoto Wa kike Over!!!
Bora alivyokataza ili watu waogope kuliko kuruhusu mtu anaona ni haki yake kushika mimba....
Kwa mwanangu haitokei sababu wkt wote yupo ndani, akitoka shule nyumbani, kucheza cheza nje ya geti mwiko...Unakuta mzazi mcharuko, mtoto hadi saa moja usiku yupo nje anang'aa macho, shule hajulikani anatoka saa ngapi, Wazazi hawawasiliani na mwalimu kujua muda wa mtoto kutoka shule...hakuna ufuatiliaji..kwanini mtoto asishike mimba?
Unachanganya mada tatizoKwa hiyo unataka awe in charge mpaka chumbani kwako sio,
Mkuu Nyani Ngabu, Kwa namna jamii yetu ilipofikia kwa sasa, maamuzi ya Rais ni sahihi. Wazazi wamepwaya sana kwenye malezi ya watoto wao. Pengine tusema societal set up yetu iko vibaya sana kuliko wakati wowote. Watoto wanaanza mchezo wa mapenzi mapema sana hivyo ukiruhusu hata wanapozaa warudi shule, (kitu ambacho hajiwahi kutokea katika historia ya Tanzania ) tunajichimbia kaburi sisi wenyewe.Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Hizo tamaa zinasababishwa na ulimbukeni na viherehere vyao. Ki binti cha sekondari kinataka kumiliki iPhone kwa kupanua miguu!Hizo tamaa zinsababishwa na nini?
Una uhakika hela yako ya kodi unayotoa inatosha kwa huduma zote za jamii unazopewa na serikali???"Hela za serikali"
Hela ya serikali ni kodi iliyokusanywa kutoka hata kwa mzazi maskini wa huyo binti.
Haya nenda katrace alichoongea Samia Suluhu, Ummy Mwalimu na ilani ya ccm juu ya mwnafunzi atakayepata mimba.