ARIUS MZUSHI
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 272
- 110
mi huyu baba simuelewi make ni mzee wa kuanza kumalizia saa daaaaaaaah mzee wapi noah zetu jamaa hawajaleta mpunga au ndo changa la macho
Mabadiliko katika jamii yoyote ni lazima na Uongozi wowote utakuwa na malengo binafsi, namuunga mkono Rais ila jamani si kwake tu, na kwa mwengine yyt haya maneno machafu yaacheni, nachukizwa tu na baadhi ya vitendo vya wanasiasa Afrika kwanza kuwa uchaguzi umeisha halafu bado wanazozana au kuzungumzana, pili kuwa masuala ya msingi na hakki za Raia kuzinadi kuwa maendeleo, kweli neno maendeleo ni kutoka sehemu, mahala flani kwenda mahala flani lkn yanazingatio, maana Hatua kubwa ni hisia za Raia kwenye kutafuta aman ya Roho, hv anapokuja mtu kusema Maendeleo ni barabara kutoka mahala flani mpaka mahala flani ndio maendeleo? umekamilisha hisia za Raia? au kumrahisishia na kumpa tu hakki yake ya msingi, kurahisisha usafiri maana wapo wengi watatumia barabara ile na maisha bado yapo chini sina maana kuwa zisejengwe bali Rais gani duniani towa Afrika kanadi kuwa maendeleo ni barabara au maji wakati ni hakki zao.
Kwa kumaliza tu ni kwamba Juhudi za kuinua Tanzania ya Viwanda ihusike vyema kwenye akili zetu ni dhana njema kustawisha Uchumi wa Taifa hongera Rais lkn Usiisahau Zanzibar maana ni Nusu ya Tanzania.
Ahsanteni wadau.
kosa ni kosa hamna cha kosa kubwa wala kosa dogo. au ww unakipimo gani cha kujua kosa kubwa au kosa dogo???Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
kosa ni kosa hamna cha kosa kubwa wala kosa dogo. au ww unakipimo gani cha kujua kosa kubwa au kosa dogo???
Mkubwa umeongea kwa mbwembwe nyingi lakini ukweli unabaki pale pale kwamba asilimia ya wanaopata mimba kwa kubakwa sio kubwa kuliko inavyowekwa na hizi taasisi zenye matangazo yao kwenye runinga za Tanzania.Your thinking is flawed.
1/ Kwa kuwa sikutetea wanafunzi watoro wasifukuzwe shule hakuninyimi haki ya kutetea wahanga wa mimba za utotoni kupata fursa za elimu. Philosophically speaking, you do not justify a wrong by citing another wrong. That said, mambo ya mwanafunzi kumpiga mwalimu na msichana kupata mimba akiwa shuleni hayafanani. It shows that unajaribu kujadili tatizo ambalo hata hulielewi. Unasukumwa na mihemko. Kama una hoja ya kutetea mwanafunzi anayempiga mwalimu iweke mezani, badala ya kulazimisha wanaopinga kauli ya Rais inayokandamiza wasichana wa nchi hii wawatete wanafunzi waliompiga mwalimu.
2/ You are claiming causality simply based on gut feeling. Hoja kwamba kuruhusu wasichana wanaopata mimba kuendelea na masomo ni "kuzigeuza korido za shule sawa na zile za zahanati" is empty, hollow, and populistic. You are simply reproducing your religious biases in the name of maadili.
3/ Ni maadili gani ya nchi hii unayozungumza? Kuiba mali za umma? Ubabaishaji?
NImesema tatizo ni primitive thinking. Fikra za mwaka 1430 katika karne ya 21...Mkuu NGOs zimefanya kazi kubwa ya indoctrination, na hatimaye kubadili mitizamo ya watu.Usi down play their contribution,it's huge.
Huja address point,umeingia na povu tu.Hata hivyo haisaidii,the decision has already been made. Vi-NGO uchwara haviwezi kutuyumbisha,ni lazima tuheshimu culture yetu na morals zetu.NImesema tatizo ni primitive thinking. Fikra za mwaka 1430 katika karne ya 21...
I choose not to address anything with you. Mawazo ya karne ya 4 na yale ya karne ya 21 haviwezi kutangamana..Huja address point,umeingia na povu tu.Hata hivyo haisaidii,the decision has already been made. Vi-NGO uchwara haviwezi kutuyumbisha,ni lazima tuheshimu culture yetu na morals zetu.
Hao wajinga twaweza wameshawaelezea kuwa ndo wanaoiunga mkono SISIEMKama kawaida ya mzee wa visasi, hivi hajui kuna watu wana chukua masters na tayari wana watoto wenye watoto.
Elimu ni haki ya kila mtu, hata kama mtoto wa sekondari kapata mimba haimaanishi hiyo haki yake inapotea, aendelezwe baadaye aje kuokoa mtoto sio kukaa anaongeza idadi ya wajinga wasio na kazi. Midingi yenye phd feki ndo haiwezi kuliona hili. Tz won't be saved by this guy, he's a joke.
You better do that!I choose not to address anything with you. Mawazo ya karne ya 4 na yale ya karne ya 21 haviwezi kutangamana..
wanatia mimba kaka,nenda mikoaniMwanafunzi wa shule ya msingi ampe mtu mimba???Mkuu ushawaona watoto wa shule ya msingi lakini!!!
Je mwanafunzi akimpa mimba Mwalimu wake? 'Tatizo hapa ni maadili katika jamii zetu' inatakiwa tutatue tatizo na siyo kulikimbiaNauliza tu je Mwanafunzi wa shule ya msingi matatizo akimpa mimba mwanafunzi mwenzeka je kuna kesi hapo
Sheria ni msumeno wote wanatakiwa kufukuzwa shule.Nauliza tu je Mwanafunzi wa shule ya msingi matatizo akimpa mimba mwanafunzi mwenzeka je kuna kesi hapo