Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi


Mnapenda mdanganywe sio!! Spade itabaki kuwa spade tu wala sio kijiko kikubwa
 
Halafu Mzee Rungwe bado unabisha kuwa nchi haijapinda?!!😀😀😀😀
 
Kama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.

Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.

Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!

Hajanyimwa kujiendeleza Kielimu , kunyimwa kuwa Mwanafunzi wa Shule ( School Candidate)
 
tujifunze na sisi kuwa na mambo yetu, na viwango vyetu vya maadili ambavyo tunavisimamia.
NGO na wafadhili wake ambao wengi ni wazungu wasilazimishe kuleta mambo ambayo sisi hatujaona maana yake.
Kabisa hizi NGOs zinamambo ya ajabu kweli ilifika wakati wakawa wanagawa hadi vilainishi eti kuzuia michubuko.!
 
Asilimia 500% naunga mkono!!
 
What?! Haki ya naniiiii ipo shida tena shida kubwa sana. Matamko ya namna hii tusilaumiane 2020
 
Mmh?![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kabisa hizi NGOs zinamambo ya ajabu kweli ilifika wakati wakawa wanagawa hadi vilainishi eti kuzuia michubuko.!
Kuna mdau aliwahi kwenda kwenye NGO moja akakuta watu pale hawaeleweki, yaani kama ushogaushoga.. ibadidi akimibie interview kwa sababu ya atmosphere ya eneo husika...
Bora walivyozifunga hizo NGO tata, kama zimebaki zimaliziwe tu.
 
Hao anaodai kuwa wanatuibia, ndio haohao wanaosaidia hadi bajeti na misaada mingine kibao mfano ACACIA, Huku akitaka kujadiliana na wezi haohao anaowatuhumu wanatuibia. Nashauri aandikiwe hotuba lasivyo ishakuwa shida sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…