Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

Amesema ushoga basi.
Au kwa lugha ingine dawa yenu inachemka ikiisha wiva mtainywa bila ganzi wala vipimo.
 
Comment za page ya kwanza na kuendelea zinampiga juhudi za rais za kukemea ushoga, Raia wa Tanzania walisha data.... Kama upinzani ndiyo huu wa kutetea mashoga ni bora msajili wa vyama akavifutia usajili vyama vya upinzani vyote....
 
Mmmh, mie watu wa kanda ya ziwa kila wanapotoa mifano ya mbuzi katika mambo haya huwa nafikiria michezo waliyokuwa wakifanya na mbuzi wakiwa bado wadogo....Ni common knowledge.
 
Ukitazama kwa jicho la tatu utagundua NGO'S nyingi sana hapa bongo zinapata support kutoka nje ambazo zina masharti magumu kiasi kwamba endapo watashindwa na misaada inasitishwa, so wao wanaangalia matumbo yao na kufumbia macho athari katika jamii!
 
Hatuna Raisi kwa kweli anasema yeye anauwezo wa kusomesha hata private je wasio na uwezo kuna wazazi kibao wenye uwezo baada ya kufanya makosa watoto wao waliwarudisha shule na hao watoto wakafanya vyema sana watoto wa masikini ndio watakaoliwa kama haelewi hakuna hata senti tano aliyotoa yeye mfukoni mwake kodi zetu ndio zinasomesha watoto asituambie mambo ya kujipa kiki hapa
 
Jamani nani ajui mwanafunzi akianza ngono anakuaje kwa mwl wake sembuse azae kweli tufurahi upuuzi wa kufanya ngono na kuzaa ebu tujiulize kwa makini
 
Mimi ninahangaika kutafuta pesa ili wao wasome bure, malipo yake baada ya kusoma kwa bidii waje kulisaidia taifa badala yake wanatuletea MIMBA
 
Huu Mchezo Hauitaji Asira

Waiter Zungusha Tena [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482] [emoji482]
 
Umeelewa alichomaanisha au unakurupuka tu ku coment kwa chuki zako?
Utaratibu wa mwanafunzi mwenye masomo kukatihwa masomo ulifutwa lini labda?
 
Kwani kuna tafauti gani kumfundisha mwanafunzi mzazi na mwanafunzi wakawaida?
Kwani kuna tatizo gani mwanafunzi mzazi kumuomba mwalimu ruksa kwenda kumyonyesha mtoto wake? au serikali itapungukiwa nanini katika mpango wake wa elimu bure? Je hao wanafunzi wazazi ikiwa niwazuri kwa masomo ya sayansi nahesabu, watakapo fukuzwa lengo la taifa kufanikisha kupata mainjinyia, madokta na wahasibu ambae ni wachache litafanikiwa? Mbona ulaya na marekani mambo hayapo hivyo?
 
Hii ndio Roho mbaya! Kwani wakipata elimu baada ya kujifungua kuna tatizo gani? Kwa hiyo Rais anataka kutuambia MTU akipata ujauzito basi hana future tena Au elimu yake inakuwa haramu?
 

Kwanza watoto wa kike wanaopewa mimba na wanafunzi wenzao ni wachache mno, wengi wanapewa na watu wa mtaani

Hivi shule gani hiyo ambayo mvulana akimpa mimba mwanafunzi mwenzake anaendelea na masomo? Au umemaanisha nini kusema anaachwa aendelee na masomo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…