hindustan
Senior Member
- Oct 15, 2014
- 184
- 181
Alichoongea Rais ni sawa kabisa... huu ni ukweli unaouma..
Mtoto wa shule ya msingi mpaka sekondari anapata mimba maana yake nin?, maana yake kashakua mkubwa huyo aende akalee mtoto.. mwisho tuwe na watoto watakaokua wanaanza michezo ya ajabu mapema ambayo hata vitabu vya dini vimekataza kuzaa kabla ya kuoa au kuolewa....
tuachen kupinga kila kitu
Mtoto wa shule ya msingi mpaka sekondari anapata mimba maana yake nin?, maana yake kashakua mkubwa huyo aende akalee mtoto.. mwisho tuwe na watoto watakaokua wanaanza michezo ya ajabu mapema ambayo hata vitabu vya dini vimekataza kuzaa kabla ya kuoa au kuolewa....
tuachen kupinga kila kitu