mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,291
- 342
Hivi MAGUFURI HAYO MANENO UWA UNASEMA KAMA MANENO BINAFSI(PRIVATE ) KAMA MSOMI AU VIPI
Shida moja ya nchi yetu naimani ni kutokuwa na sheria na kifuatacho ndio maana rais au mtu mwenye mamlaka akisema kitu tunadhani ndio mwisho wa usemi na mwisho wa mjadala. Sasa rais kuamka kusema mambo hivi inamaana haipo sheria inayoongelea wanafunzi wanaopata mimba. Au yeye ndio mtungaji sheria wa nchi. Kama yeye ni mtungaji sheria wa nchi tuelewe.
Sababu mara kibao nimesikia mara hivi mara hivi. Hivi weww rais magufuri uwe wakati unaongea unasema hivi naongea kama binafsi au naongea kadiri ya sheria. Ili asiwepo mtu hata kama ni rais azungumze juu ya sheria na kwa mabavu. Hivyo hatuendi na utatufikisha pabaya.Hata viongozi wengine unakuta anaropoka tu sasa I amaana haipo sheria hadi tufikie kusema katika uongozi wangu. Au katika sheria tulizo jiwekea.
Tuache ushabiki wa maneno maneno au kutaka kujikuza katika madaraka ya mtu aliyonayo. Hii sio sahihi. Tufuate sheria ndio haki na mwelekeo. Sio "mimi katika uongozi wangu", hii sentensi ni ya ajabu. Ni ya ajabu maana;
1.Kwa hiyo kiongozi atakae kuja nae aje na amri yake. Je itakuwa nchi au jalala la kujiamlia na kuumiza wa chini.
2. Ni sheria sasa iandikwe kwenye mkutano wako au tunatunga sheria kwa chombo gani.
Nieleweke siko upande wowote ila baadhi ya kauli zinazotolewa na viongozi wetu sio nzuri. Bali ukiwa mkutanoni tueleze mambo ya maendeleo lakini suala la kuamua sheria ya watoto kusoma au kutosoma ipitishwe na chombo cha kutunga sheria sio kusimama au kuamka kwenye kitanda chako na kwenda mkutanoni unaropoka ropoka ili kwa mawazo yako ya siku hiyo ichafue Tanzania yetu yenye sheria zake.
Tunakuheshimu ila sio maana ukikosea sheria zilizopo usiambiwe itakuwa upofu wa ajabu sana.
Kwa hili ukubali umeamka kitandani bila kufikiria maneno ya kusema. Na ni hatari sana ukiendelea hivi.
Shida moja ya nchi yetu naimani ni kutokuwa na sheria na kifuatacho ndio maana rais au mtu mwenye mamlaka akisema kitu tunadhani ndio mwisho wa usemi na mwisho wa mjadala. Sasa rais kuamka kusema mambo hivi inamaana haipo sheria inayoongelea wanafunzi wanaopata mimba. Au yeye ndio mtungaji sheria wa nchi. Kama yeye ni mtungaji sheria wa nchi tuelewe.
Sababu mara kibao nimesikia mara hivi mara hivi. Hivi weww rais magufuri uwe wakati unaongea unasema hivi naongea kama binafsi au naongea kadiri ya sheria. Ili asiwepo mtu hata kama ni rais azungumze juu ya sheria na kwa mabavu. Hivyo hatuendi na utatufikisha pabaya.Hata viongozi wengine unakuta anaropoka tu sasa I amaana haipo sheria hadi tufikie kusema katika uongozi wangu. Au katika sheria tulizo jiwekea.
Tuache ushabiki wa maneno maneno au kutaka kujikuza katika madaraka ya mtu aliyonayo. Hii sio sahihi. Tufuate sheria ndio haki na mwelekeo. Sio "mimi katika uongozi wangu", hii sentensi ni ya ajabu. Ni ya ajabu maana;
1.Kwa hiyo kiongozi atakae kuja nae aje na amri yake. Je itakuwa nchi au jalala la kujiamlia na kuumiza wa chini.
2. Ni sheria sasa iandikwe kwenye mkutano wako au tunatunga sheria kwa chombo gani.
Nieleweke siko upande wowote ila baadhi ya kauli zinazotolewa na viongozi wetu sio nzuri. Bali ukiwa mkutanoni tueleze mambo ya maendeleo lakini suala la kuamua sheria ya watoto kusoma au kutosoma ipitishwe na chombo cha kutunga sheria sio kusimama au kuamka kwenye kitanda chako na kwenda mkutanoni unaropoka ropoka ili kwa mawazo yako ya siku hiyo ichafue Tanzania yetu yenye sheria zake.
Tunakuheshimu ila sio maana ukikosea sheria zilizopo usiambiwe itakuwa upofu wa ajabu sana.
Kwa hili ukubali umeamka kitandani bila kufikiria maneno ya kusema. Na ni hatari sana ukiendelea hivi.